Mimi huwa simkubaligi Arteta because Arsenal hainaga consistency at all Arsenal atacheza mechi 4 mfululizo atashinda zitakuja games 3 ana lost kisha anaanza kushinda tena tayari FA cup out imebakia Carabao then top 4 mhhh yangu macho hataambulia kitu Arteta kwa nayemjua mimi unafungwa na Nottingham ambaye mechi 3 mfululizo amepoteza hajapanda ushindi kwenye ligi yao?
Umwambie asajiri na wachezaji wa kikosi b maana ni aibu mechi nzima short on target ni 0 kisa TU kina Rowe,Laccazate,Saka,Xhaka,Ben white hawakushiriki.
haipaswi kutoa lawama kwa arteta ,ndio kikosi alichonacho ,timu inatakiw kusaji ,iwe n kikosi kipana chenye wachezaji bora kuanzia wnaoanza ad wal wanaotokea benchi.