Arsenal (The Gunners) | Special Thread

unabishana na sky sport kuwa arsenaal haikupeleka ofa kwa zaha? tena ilikuwa enz za unai, arsenal waka opt kwenda kwa pepe...

Tena sky sport waliiripoti wakiitoa kutoka kwa fabrizio ,maana ni mfanya kazi wao

Arsenal have reportedly made a bid of £40 million to sign Crystal Palace winger Wilfried Zaha, a player the Eagles value at twice that amount. According to Sky Sports,
 
TBF maana yake ni To Be Fair.

So nimekubali kwamba sijawahi kuona hiyo taarifa na assumptions zangu kwamba Arsenal haijapeleka ofa kwa Zaha hazipo sahihi.

Ila kwakua tupo katika stage ya kutaka kuvimbiana naona umekuja na kunishutumu.
 
Umesema kesho utaleta strength na weaknesses za xhaka, sasa mimi nikajua upo busy huna muda ila hapa naona unaendelea kuchangia kwa kuandika makala ndeeefu!... Kumbe muda unao wa kitosha kabisa... Basi kesho nenda google udownload madesa.... Kwa kuwa ulinitukana, nakukaribisha tena ubwabwaje matusi yako, si unajua domo limezoea kutukana tukana...
 
Zaha anawafikia kwel saka na mattinelli
 
Umechagua Angle,

Wacha nikuache tu nisipoteze nguvu nyingi.
 
Tuko pamoja katika hili Mkuu
 
Lokonga kutokupata namba mbele ya xhaka, ndio kwamba xhaka ni mzuri?

"Kukosekana kwa waganga watu wanapungwa na walevi"

Ndio hatuna tu mtu wa maana lakini xhaka hana huo ubora katika timu zinazogombea ubingwa xhaka anaanza kikosi gani?
Nakupata vizuri Mkuu kwenye hili na kama Arsenal siku za karibuni itafkia hatua za kupambania kombe la ligi kuu basi ndio utakuwa mwisho wa Xhaka katika first eleven, Mtu mrefu ujijua pindi anaposimama na Mtu mfupi

Kwa sasa anatufaa kulingana na mahitaji ya team na aina ya wachezaji tulionao katika position yake, kwa makosa aliyonayo Xhaka hakuna team kubwa yoyote ambayo ipo katika mbio za ubingwa inaweza kumweka ata sub tu achilia mbali first eleven
 
Kumbe hatupambanii kombe?
tunasindikiza ligi tu?OK ok ohh right
 
Kumbe hatupambanii kombe?
tunasindikiza ligi tu?OK ok ohh right
Kwa maneno yake Bwana Stan

Simuinu ua Arsenal kwa ajili ya Mushinda mataji. Tuendelee kukaa kwa kutulia. .ataji yutayasubiri sana.

May be pale Landani wakichoka hizi siasa na wakapanukisha yule Bingwa auze team may just may be tunaweza kuanza kushinda a tena
 
sisi tunaishig vzr na nyie usijitenge' uje leo uangalie mabingwa wanakipiga saa4
Toka hapa juzi na jana vinega viwili vinafundishwa na wazee wa gegen press vimenyooshwa. Nawaangalia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…