Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Let's hope.I just hope those defeats end up appearing in our amazon documentary and they will be characterized as 'The moments the club stick together' not as the defeats that got us outta top 4.
Watu hawaangalii moira siku hizi wanaangalia matokeo.Siku kama ya leo kila shabiki anatamani kuganda kwenye huu uzi, a clean sheet, minus negative goal difference and a fourth position.
A perfect combo.
Sasa timu ipokee kipigo unaona watu wanasusa na kuanza kutukana wenzao hawajui mpira na kocha ataitwa kinabo.
#ArtetaOut in with computerarsenal the mastermind
By mataji you mean EPL??? No let's not get our hopes high!La #ArtetaOUT halina mjadala, jama tunahitaji kuanza kushinda tena mataji, tipate mwalimu serious wa kitufikisha huko
Mchukueni olee kabla hajachukuliwa na EvertonLa #ArtetaOUT halina mjadala, jama tunahitaji kuanza kushinda tena mataji, tipate mwalimu serious wa kitufikisha huko
UTASUBIRI SANA ARTETA KUFUKUZWALa #ArtetaOUT halina mjadala, jama tunahitaji kuanza kushinda tena mataji, tipate mwalimu serious wa kitufikisha huko
Acha kumfananisha Pep na vitu vyako vya ajabu, Arteta anaweza akawa mwalimu mzuri, lakini kwa Pep ni madaraja mawili tofauti.Muangalie Zidane muangalie Pep.
Wanatoka timu za vijana wanakabidhiwa timu zina mastar katika ligi ambayo dominants ni Barca au Real na labda Atletico.
Baada ya hapo Pep kila anapopita ni stori za kutumia pesa kwenye usajili kwa wingi, Zidane hataki kazi sijui kama ni anahofia challenge za nje ya Real au vipi lakini hatujaona Zidane akiongelea kumanage timu nyingine.
Arteta alitaja wachezaji anaowataka na wengi kawakosa, kuna aliowakosa kwakua klabu haikutoa pesa na kuna waliokoswa kwakua klabu haichezi michuano ya Ulaya. Naamini Arteta ananunua wachezaji kama Tavares na Lokong siyo kwa kutaka, analenga afike nao mashindano ya Ulaya mmiliki atoe pesa ndipo sasa wafuatwe wakina Locatelli, Dusan n.k.
Kosa walilofanya higher ups wa Arsenal ni kumuacha Wenger aondoke kama mwizi yule mzee alipaswa kubaki kama DoF au mshauri wa klabu.
Sure! Nice display kutoka kwa timu. 👏By mataji you mean EPL??? No let's not get our hopes high!
2023/2024- That's our season guys!
Kama tutapata nafasi ya 4 na kushinda japo EFL au FA basi itakuwa ni mafanikio makubwa kwa timu yetu. That's reality
Nimemmiss jamaa yangu isajorsergio aje tusheherekee ushindi wetu wa Jana pamoja hapa.
Let's be happy guys maana kumfunga westham this season isn't a joke
His first penalty miss in an arsenal jersey, I haven't watched an arsenal performance of this magnitude for a long time.That's the way to go. Score, defend and fight to score more not to only defend a goal. Well played lads and respect Laca. The penalty was well taken but of course we know what Fabianski is capable of doing when it comes to penalties.
Mimi pia nimekuwa #Artetaout na nimepunguza kucomment ili nisipate hasira juu ya huyu manager ila namtakia kila la heri maana ndiyo hivyo tena, tunaye na hatuna jinsi.Siku kama ya leo kila shabiki anatamani kuganda kwenye huu uzi, a clean sheet, minus negative goal difference and a fourth position.
A perfect combo.
Sasa timu ipokee kipigo unaona watu wanasusa na kuanza kutukana wenzao hawajui mpira na kocha ataitwa kinabo.
#ArtetaOut in with computerarsenal the mastermind
Bado unanunua screenshot?So it's okay kwa wewe kufuata sources za udaku ... Eti aliyetamka
By the way, mimi nanunua screenshort za Arsenal akiwa juu ya Man Utd kwenye table ya ligi
Nina ka 50K hapa
Kwanza nataka wote muelewe hii #ArtetaOut computerarsenal in hua naandika kumtania huyo jamaa. Hua sina kawaida ya kuunga mkono movt za out.Mimi pia nimekuwa #Artetaout na nimepunguza kucomment ili nisipate hasira juu ya huyu manager ila namtakia kila la heri maana ndiyo hivyo tena, tunaye na hatuna jinsi.
Ni ngumu kwangu kuelewa eti kwa EPL17games tayari tushapoteza mechi 6. Enzi Wenger akiwa moto kupoteza mechi 5 ni suala la season nzima. Halafu hatufungi magoli sasa. Ushindi mkubwa 3-0. Bado tuko nyuma sana kimaendeleo na sidhani yeye ndio jibu letu ila hatuna namna ingine hivyo tumpe ushirikiano tu.
Tumia akili.Acha kumfananisha Pep na vitu vyako vya ajabu, Arteta anaweza akawa mwalimu mzuri, lakini kwa Pep ni madaraja mawili tofauti.
Big problem ya Arsenal is about consistency for example jana tumecheza kwa uwezo mkubwa sana Big up kwa players but Saturday vs Leeds inawezekana usiamini utakachokiona Arsenal inakosa consistency at all yesterday nani alitegemea Arsenal ataplay kwa style ile ambayo mechi nzima West Ham ana short on target 1?I repeat kwa manager tuliyenaye bado hana uwezo wa kutupeleka way forward tukapata achievements otherwise tutaendelea kujisifia kwa vimechi viwili kuwa tumeplay Nice then after two matches tunalia (Manchester United and Everton)ni examples mean Arteta anajua kuuma na kupuliza that's itKwanza nataka wote muelewe hii #ArtetaOut computerarsenal in hua naandika kumtania huyo jamaa. Hua sina kawaida ya kuunga mkono movt za out.
Stats za Ushindi mkubwa nafikiri umezitoa fotmob but kabla ya 3-0 ushindi mkubwa ulikua 4-2 katika ligi na kule kwingine tumeshamfunga mtu sita (au 5 sikumbuki vizuri) kikosi chetu hakina scorer aliyekua mzuri katika kuscore amekua butu.
Timu ambayo haina scorer ni ngumu kushinda goli nyingi. Chelsea pamoja na kukaba vizuri ila hawezi kupata magoli mengi kwakua waliyemtegemea, Bwana Lukaku, kumbe ni kimeo. So for now ushindi wowote inabidi upokelewe.
Aya sasa ujitoe umu sasaNyie Asenane muifunge Westham, labda Westham ya Buza. Ikitokea leo mkashinda mi najitoa JF mazima.
Ndiyo nasema chukua kazi hiyo uokoe JahaziBig problem ya Arsenal is about consistency for example jana tumecheza kwa uwezo mkubwa sana Big up kwa players but Saturday vs Leeds inawezekana usiamini utakachokiona Arsenal inakosa consistency at all yesterday nani alitegemea Arsenal ataplay kwa style ile ambayo mechi nzima West Ham ana short on target 1?I repeat kwa manager tuliyenaye bado hana uwezo wa kutupeleka way forward tukapata achievements otherwise tutaendelea kujisifia kwa vimechi viwili kuwa tumeplay Nice then after two matches tunalia (Manchester United and Everton)ni examples mean Arteta anajua kuuma na kupuliza that's it
Tatizo kubwa ni inconsistency! Arteta ni kocha bado mdogo, anajifunza so tumvumilie tu hatuna namna lakini rebuilding a team sio kazi ya mwaka mmoja au miwili, let's hold our heads high!Big problem ya Arsenal is about consistency for example jana tumecheza kwa uwezo mkubwa sana Big up kwa players but Saturday vs Leeds inawezekana usiamini utakachokiona Arsenal inakosa consistency at all yesterday nani alitegemea Arsenal ataplay kwa style ile ambayo mechi nzima West Ham ana short on target 1?I repeat kwa manager tuliyenaye bado hana uwezo wa kutupeleka way forward tukapata achievements otherwise tutaendelea kujisifia kwa vimechi viwili kuwa tumeplay Nice then after two matches tunalia (Manchester United and Everton)ni examples mean Arteta anajua kuuma na kupuliza that's it
Hivi unajua ubigwa mara ya mwisho tumebeba lini!?Tatizo kubwa ni inconsistency! Arteta ni kocha bado mdogo, anajifunza so tumvumilie tu hatuna namna lakini rebuilding a team sio kazi ya mwaka mmoja au miwili, let's hold our heads high!
Fanya reference ya Klopp na Liverpool mkuu!Hivi unajua ubigwa mara ya mwisho tumebeba lini!?
Ukijua hilo hutakibaliana na hiyo agenda ya Kupeana muda ajifunze kujua kazi.
Kama hawazi jua hawezi, Pep alianza kudeliver alipopewa majikumu, Tito (RIP) Alifanya hivyo pia.
Vuka jirani hapo Chalii wa Bayern amedeliver akiwa mdogo.
Kifupi Arteta is not Good enough!
Msimu wake wa pili Kloop was very close na epl ila akanyanyua CL, Msimu wa Tatu akanyanyua EPL. Do you see Arteta anyway close na chochote kati ya hivyo nimevitaja hapo juu!?Fanya reference ya Klopp na Liverpool mkuu!