Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lacazette is so hardworking...he was everywhere like a plague. Saka was brilliant all through, ESR never disappoints..a clinical important finish from Martineli. I haven't felt this good watching an arsenal match ever since we beat spurs..
 
Na ww ni mmoja wa hao mashabiki?

Auba ametuokoa mara nyingi refer FA cup glory ila changamoto zake za nje ya uwanja ndio inaletelea form kushuka mara kwa mara.

Tumpe heshima yake anayo stahili.
Hivi karibuni katika baadhi ya mechi imekua kwamba Auba akiwa pale mbele hauoni tofauti na angekua hayupo. Kuscore kumekua kugumu na kupress kwa intensity ya Laca ameacha.

Niliamini anastahili kukaa benchi wakati akisort out ishu zozote zinazomzunguka. Kama Arsenal tuna sports psychologist huu ndiyo muda wa kuonyesha kazi yake. Ila kwa jinsi tunavyokua desireless minus confidence sina uhakika kama tunaye.

So we wait.
 
I can't believe Arteta was yelling on Martineli to get back to the game and stop wasting time even when Arsenal is one goal up... that's wonderful. The young coach is learning his lessons: The best way to defend is to attack
He did the same with Partey and we paid the price as Partey's situation worsened and he was out longer and we started dropping points in silly games.
 
Same here. My thing is how can we lose to Everton and Brentford?? Those are points we can't afford losing.

But all in all, we are in a right path and safe hands under MIKEL ARTETA
I just hope those defeats end up appearing in our amazon documentary and they will be characterized as 'The moments the club stick together' not as the defeats that got us outta top 4.
 
Siku kama ya leo kila shabiki anatamani kuganda kwenye huu uzi, a clean sheet, minus negative goal difference and a fourth position.

A perfect combo.

Sasa timu ipokee kipigo unaona watu wanasusa na kuanza kutukana wenzao hawajui mpira na kocha ataitwa kinabo.

#ArtetaOut in with computerarsenal the mastermind
La #ArtetaOUT halina mjadala, jama tunahitaji kuanza kushinda tena mataji, tipate mwalimu serious wa kitufikisha huko
 
Siku kama ya leo kila shabiki anatamani kuganda kwenye huu uzi, a clean sheet, minus negative goal difference and a fourth position.

A perfect combo.

Sasa timu ipokee kipigo unaona watu wanasusa na kuanza kutukana wenzao hawajui mpira na kocha ataitwa kinabo.

#ArtetaOut in with computerarsenal the mastermind
Kwa hio vipi Arteta aendelee?
Mwamba anaupiga mwingi sio?
 
Kuna through ball kwenye kama dakika ya 90+ ilipigwa na Xhaka ikawakuta Saka na Emile halafu Saka aka-low cross kwa Emile na created chance ikaishia pale.

Hivi ni vitu vidogo ambavyo hatuviaddress but kiukweli ndiyo vinatunyima points katika critical games.

Tho Saka ameonyesha siyo mchoyo lakini kwa kua yupo ndani ya box na yupo one vs one na beki angeweza kuapply skill kutaka kumpita na bado ingekua idea nzuri as beki asingefanya reckless challenge na angepata nafasi nzuri zaidi ya kutoa pasi au kuscore.
 
La #ArtetaOUT halina mjadala, jama tunahitaji kuanza kushinda tena mataji, tipate mwalimu serious wa kitufikisha huko
Mfano kocha kutoka wapi unadhani atakua serious?

Hii timu iliajiri kocha aliyefundisha PSG kocha ana sifa ya kutopoteza fainali Europa lakini Arsenal tukafika fainali na tukapoteza. Kisha yakaja matokeo mabovu, kufungwa na timu ndogo n.k.

Unahisi shida ni kocha? Aangaliwe Kroenke and co.
 
Hamko serious na furaha zenu, Arteta ni kujichekewesha kufika tunakotaka kwenda
Hahahaaa waache wachekelee kwa muda maana hio nafasi 4 inawenyewe, kwa huyo kocha na wachezaji wakuungaunga Arsenal ni Europa league tu.
 
Hamko serious na furaha zenu, Arteta ni kujichekewesha kufika tunakotaka kwenda
Muangalie Zidane muangalie Pep.

Wanatoka timu za vijana wanakabidhiwa timu zina mastar katika ligi ambayo dominants ni Barca au Real na labda Atletico.

Baada ya hapo Pep kila anapopita ni stori za kutumia pesa kwenye usajili kwa wingi, Zidane hataki kazi sijui kama ni anahofia challenge za nje ya Real au vipi lakini hatujaona Zidane akiongelea kumanage timu nyingine.

Arteta alitaja wachezaji anaowataka na wengi kawakosa, kuna aliowakosa kwakua klabu haikutoa pesa na kuna waliokoswa kwakua klabu haichezi michuano ya Ulaya. Naamini Arteta ananunua wachezaji kama Tavares na Lokong siyo kwa kutaka, analenga afike nao mashindano ya Ulaya mmiliki atoe pesa ndipo sasa wafuatwe wakina Locatelli, Dusan n.k.

Kosa walilofanya higher ups wa Arsenal ni kumuacha Wenger aondoke kama mwizi yule mzee alipaswa kubaki kama DoF au mshauri wa klabu.
 
Back
Top Bottom