Liva ni wa pili kwa timu zilizoshinda mechi nyingi ugenini. Factor ya kua home haifanyi kazi mbele ya timu yenye rekodi hiyo.Hiyo statement ya kwanza tu ndio umezingua mkuu.
Cha kwanza, game ya Everton na Liverpool ni derby. Ni kama unavyoona kariakoo derby. Wachezaji wanacheza kwa ari na upinzani mkubwa.
Jambo la pili, Everton walikuwa nyumbani.
Ukiunganisha hizo dots mbili unapata kuona kwanini walistahili kupata goli.
Pepe anaweza akaanza.Bukayo Saka does not appear in any of the training photos from tomorrow and today.
Shida ya Pepe ukimpa tu Imani, anaku disappoint muda wowotePepe anaweza akaanza.
Ana pace na skills shida yake ni kuganda na mpira muda mrefu unnecessarily, finishing na curving ability ndogo.Shida ya Pepe ukimpa tu Imani, anaku disappoint muda wowote
Lokonga kucheza vizuri inategemea na pressure ya mechi itakuwaje, lakini tunahitaji sana his line breaking passes kuunlock united's block. Kama United wakiwa quick in transition Lokonga atafeli, itakuwa bora kuanza na El neny ambaye ni mzuri kwenye settled possessionNaona Mikel Arteta anaenda kuanza na Partey na Lokonga as asual in our mid, halafu sided mid ESR na Saka kama atakuwa full fit kutokana na majeraha yake ya mechi iliyopita, vinginevyo Martineli Atachukua nafasi yao
Nuno Tavares ataendelea kupewa imani ya Arteta kwenye ubavu wa kushoto na defense nzima itaendelea kama ilivyo kwa michezo iliyopita
Martin Odegard ataendelea kuanza as number 10 kwa lengo la kuhold mipira ktk 18 yards ya mpinzani na kutengeneza penetration pass kwa Captain Aubameyang kama striker ambae Arteta ataendelea kumuamini huku Lacca akitegemewa kuanzia nje
Best lucky to our own team
Ukicheza 3 4 3 hata weaknesses za Lokonga zitazibwaLokonga kucheza vizuri inategemea na pressure ya mechi itakuwaje, lakini tunahitaji sana his line breaking passes kuunlock united's block. Kama United wakiwa quick in transition Lokonga atafeli, itakuwa bora kuanza na El neny ambaye ni mzuri kwenye settled possession
United kutufunga wanahitaji vitu vinne kama walivyofanya Liverpool.
1.Pressing well our play out
2.Win all duels(ground/ aerial)
3.Win second ball
4.Good in counterpressing,
Wakifanya hayo tunakufa nyingi tu sababu quality wanayo, wakishindwa tunawaua sisi...
Kivipi?Ukicheza 3 4 3 hata weaknesses za Lokonga zitazibwa
Katika 3 4 3 wingbacks na wings wanaweza kufanya recovery ya mpira atakaopoteza CM kwa haraka kwakua 3 4 3 inaruhusu kufanya low block kuanzia hapo kati na defense.Kivipi?
Imo Lokonga is not technically secure when opponents' pressure is higher, Anagive many sloppy balls away in dangerous area. Anahitaji an increased time/space for maturity decision making ndio maana anafanya vizuri against smaller side ila ni suala la muda maana bado junk.
Dogo kagoma kuja Arsenal.Fiorentina president Commisso: “I don’t know if Juventus are able to sign Vlahovic in January. But I wanna say to Juventus or Arsenal that we [Fiorentina] are the ‘owners’ of Vlahovic. They should open talks with us - not with his agents”, he told Radiotutticonvocati. 🇷🇸🟣 #Juve #AFC
Fabrizio Romano
Inaonekana tunaweza kumchukua huyu dogo endapo tukiweka dau la kushawishi
Basi tuachane naeDogo kagoma kuja Arsenal.
Na ninamkumbuka Arteta alisema anahitaji mchezaji ambaye atakua proud kuja pale na ambaye akionyeshwa project ya timu ajione akifit in na siyo kuanza kubembelezana kwa pipi na bagia.
Timu iwe structured scorers wawe mawinga na mid kipindi unatafutwa ufumbuziBasi tuachane nae
Itakuwa option nzuri zaidiTimu iwe structured scorers wawe mawinga na mid kipindi unatafutwa ufumbuzi
Akifungwa leo hii kwa atakayeendelea kumtetea atakuwa ana kichaa cha mbwa keshapoteza Big games dhidi ya Chelsea Liverpool Manchester City and even Manchester United apoteze?let's waitArteta, tonight he is in it again; he lost against Chelsea, Manchester City & Liverpool with big margins, will the same repeat tonight at OT?
He always indecisive when facing serious title contenders hence drop points willingly.
Arteta has no any European nights either hence his team has no excuse at all other than producing good results tonight.
UTD is also doing badly domestically but with managerial change it might be bad for us in the Chilly Manchester.
Ndio hata kama upo vibaya kiasi gani, unashindwa hata kutoa sare against those big 4?Akifungwa leo hii kwa atakayeendelea kumtetea atakuwa ana kichaa cha mbwa keshapoteza Big games dhidi ya Chelsea Liverpool Manchester City and even Manchester United apoteze?let's wait