Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal na Tottenham zote ziko kwenye ushindani wa kumsajili kiungo wa kati wa Sweden Dejan Kulusevski mwenye umri wa miaka 21 kutoka Juventus.(Calcio Mercato-in Italian)

Kwani pale Arsenal tunauhitaji wa kiungo mshambuliaji?
huyu jamaa tyr ameshasema yeye ni arsenal fan, na juz kiongoz wa juve baada mech na chelsea alibak london kujadili hilo dili, binafs simjui , ila arsenal tunahitaji sana viungo wa kati , wingers wakuchangia mabao, ni dhahiri pepe atauzwa soon...
 
Huyu jamaa hadi nishamsahau..alituringia sana kipindo yupo moto
 
wakala wake ameweka tamaa mbele anataka wavute muda aende free juve au aende kwa mkopo wa kununuliwa kama locatelli, juve wapo vibay kifedha, mchezaji amebakiza muda mchache kwenye mkataba wake, hivo watu wanafos january wambebe, totenham, arsenal, nyumbu , juve hana ubavu, na bei yake imeshuka sababu mkataba unaelekea mwisho, mwenye 40-55 january anambeba, shida wakala wake nasikia ameshikwa masikio na juve, simu za arsenal hapokei
 
Basi atakuwa hana akili huyo Wakala wake ila binafsi mimi huwa nawapenda sana wachezaji walio chini ya Mino Raiola, huyu wakala hana mambo ya ubabaishaji kabisa
 
Aaron Ramsdale kuhusu mchezo ujao wa Manchester United:

"Sikuwahi kufikiria ningecheza dhidi ya Ronaldo, lakini ninatumai sana atapambana nasi kwa sababu inanipa nafasi ya kujijaribu.

As much as you want to go somewhere like that (Old Trafford) there’s no better feeling than getting on top of someone and saying I’ve had a full-on battle with Ronaldo.”
 
Basi atakuwa hana akili huyo Wakala wake ila binafsi mimi huwa nawapenda sana wachezaji walio chini ya Mino Raiola, huyu wakala hana mambo ya ubabaishaji kabisa
Wakala hana nguvu kwa mchezaji, ni wazi mchezaji anapenda Juventus kama Locatelli.
 
Arsenal na Tottenham zote ziko kwenye ushindani wa kumsajili kiungo wa kati wa Sweden Dejan Kulusevski mwenye umri wa miaka 21 kutoka Juventus.(Calcio Mercato-in Italian)

Kwani pale Arsenal tunauhitaji wa kiungo mshambuliaji?
Ndiyo.
 
Wakala hana nguvu kwa mchezaji, ni wazi mchezaji anapenda Juventus kama Locatelli.
Inasikitisha sana Arsenal haina mvuto tena kwa Big players kwa sasa kwa players they know their value hawawezi kuja kucheza chini ya Arteta otherwise Arsenal iingie champions league or EPL
every day itakuwa ni tetesi kisha usajili unafungwa unabakia na majina yale yale unahisi mchezaji anayetaka makombe atakuja kuwa chini ya Arteta?this will never happen may be coach awe na jina kubwa na CV ya kutosheleza
 
 
Umeongea kama sheykh Yahya Hussein.
 
Hii comment naitunza mpaka mwisho wa msimu wa ligi.
 
Sasa unamlilia nani, nenda wewe kawe kocha wachezaji wenye majina watakuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…