Hofu yangu kwa odegaard gem inapokuwa ngum tukahitajika kurudi nyuma kukaba kisha kukimbia na mpira kwenda mbele sio mzuri hivyo utaona kwenye gem za namna hiyo acheze Saka,Rowe, Laca kwa kuwa wote wanauwezo wa kuchukua mpira tokea nyuma wakakimbia kwenda mbele muda huo Auba anakuwa anasubili mbele kwamba wakianza kumove na yeye anamove kutafuta nafasi ya kupasiwa. Lkn ngoja tuone leo arteta atakuja vp ila mimi nitafurahi akija na aarone, Tomiyasu, Tavares/Tierney, White, Gabrie, partey, Lokonga,Rowe, Saka, Laca na Auba.