Mbona unaumizwa mkuu, Uhalisia gani wakati timu imeshinda four games in a row?Kanzu mpya sheikh wa zaman
Nasubiri kushangazwa chief na Arsenal na kuhusu kufika mbali kwa Arsenal unazungumzia kuchukua ubingwa au kuingia top four? Hebu fafanua hili
Kwenye ligi namna ilivyo marathon ndefu unategemea muujiza wa kutushangaza na wala sio quality ya wachezaji na mbinu za kocha? Kweli ushabiki umekufanya uwe kipofu hadi uhalisia hauuoni amka ulipolala
Wanawake wa Arsenal ni wakali sana England. Hadi naangalia highlights zao . Wanaupiga mwingi si mchezo. Na ndio mabingwa wa historia wa ligi ya wanawake kwa sasa. Kuna striker anaitwa Miedema ni moto wa kuotea mbali. Auba akistaafu tumuombee kibali huyu aje achezee timu ya wanaume 😀Wanawake wa Arsenal muda huu wamewakalia wenzao wa man city hadi sasa wapo 4 bila.
Man u madume wala kichapo na wa kike nao wameliwa 6 kweli leo ugumu ugumu tu.
Tunamnyoosha Manchester City hukoKatika uzi wenu hakuna hata anayepost kikosi siku mkiwa mnacheza
Unajua timu ikiwa na mastar wengi ultimate formation hua ni 4 3 3 sielewi kwanini Poch anacheza 4 2 3 1. Tuchel kwa kujua ana mastar wengi ikabidi awe anacheza 4 2 4, ili Icardi, Mbappe, Di Maria na Neymar wote wapate namba.
Ila hii formation ilimdhalilisha Tuchel kwa united kwakua forwards ni mastar wakawa wagumu kukaba pia unakua prone kwa counter na forwards zenye speed. Akadhalilika uefa ila ligi ya ndani ilikua unajua psg anashinda.
Tuje kwa Pochkabla ya mechi unaona PSG ina odds 1.03 kushinda dhidi ya timu yoyote ya ligue 1 hiyo timu nyingine inagewa odds 15 kushinda.
Siku ya mechi psg ataanza kupigwa chuma. Atahaha kuchomoa mpaka dakika ya 88. Dk ya 91 hivi timu pinzani inapata red dk ya 93 psg inapata goli la 2. Magoli yanafungwa na beki Hakimi.
Haka katimu katapigwa na city live. Am sure hata mechi hauangalii.
Kwa kauli hii hata humu ndani ukiongea mbele za watu watakuona ahuani mechi 6 za Arsenal tena kashinda 3 tena kafunga goli 5 kafungwa 10 unasema anagombania TOP 4?Arsenal tunajua ni timu yetu plus timu yangu PSG ya wanaume but acha msimu uendelee tuache mdomo mdomo timu ya Arsenal inajulikana may be Sir GOD afanye maajabu may be may be inawezekana sababu CHELSEA MANCHESTER CITY LIVERPOOL hawa guarantee ni TOP 4 na hakuna wa kuwatoa that's the fuckin truthYule pundit bingwa wa kuiponda Arsenal Paul Merson hatimaye anasema ''Arsenal can challenge for top four'' Snakes wameanza kukubali sasa
Defend your ego bro, time will expose you.Kwa kauli hii hata humu ndani ukiongea mbele za watu watakuona ahuani mechi 6 za Arsenal tena kashinda 3 tena kafunga goli 5 kafungwa 10 unasema anagombania TOP 4?Arsenal tunajua ni timu yetu plus timu yangu PSG ya wanaume but acha msimu uendelee tuache mdomo mdomo timu ya Arsenal inajulikana may be Sir GOD afanye maajabu may be may be inawezekana sababu CHELSEA MANCHESTER CITY LIVERPOOL hawa guarantee ni TOP 4 na hakuna wa kuwatoa that's the fuckin truth
Hizo mechi tatu tunapoteza hatukuwa na Ramsdale, Tomiyasu, Gabriel,partey, white na Odegaard pia hawakucheza Mechi mbili kati ya hizo.Kwa kauli hii hata humu ndani ukiongea mbele za watu watakuona ahuani mechi 6 za Arsenal tena kashinda 3 tena kafunga goli 5 kafungwa 10 unasema anagombania TOP 4?Arsenal tunajua ni timu yetu plus timu yangu PSG ya wanaume but acha msimu uendelee tuache mdomo mdomo timu ya Arsenal inajulikana may be Sir GOD afanye maajabu may be may be inawezekana sababu CHELSEA MANCHESTER CITY LIVERPOOL hawa guarantee ni TOP 4 na hakuna wa kuwatoa that's the fuckin truth
Kikosi chetu bado kuwashinda CHELSEA MANCHESTER CITY NA LIVERPOOL, I repeat bado na TOP 3 hao hawatatoka hapo na ARSENAL hawezi kushindana na hao watu 3Hizo mechi tatu tunapoteza hatukuwa na Ramsdale, Tomiyasu, Gabriel,partey, white na Odegaard pia hawakucheza Mechi mbili kati ya hizo.
Wewe jamaa akili zako huwa unazijua mwenyewe.
Sasa wewe ni kwamba huoni kama nimereport kilichozungumzwa na Paul Merson Sky sports, usinilishe maneno we ndugu.Kikosi chetu bado kuwashinda CHELSEA MANCHESTER CITY NA LIVERPOOL, I repeat bado na TOP 3 hao hawatatoka hapo na ARSENAL hawezi kushindana na hao watu 3
Then kuna MANCHESTER UNITED may be may be huyu inawezekana tukashindana nae ila ni misimu mingapi sasa hii timu tumemaliza juu yake?sio kuwa akili yangu naijua mwenyewe no,I give you the Naked fuckin truth TOP 4 sio kama unaenda kukojoa mkojo wa asubuhi kirahisi rahisi may be ungesema TOP 6 ningeweza kukubaliana na wewe
Ok fine if you are talking serious unahisi katika hao nliowataja Arsenal anaweza akamaliza juu ya nani then tuone statement yako?
Do you think Paul Merson ana akili timamu?huyo ni Kichaa siku hiziSasa wewe ni kwamba huoni kama nimereport kilichozungumzwa na Paul Merson Sky sports, usinilishe maneno we ndugu.
umerudi arsenal??Kikosi chetu bado kuwashinda CHELSEA MANCHESTER CITY NA LIVERPOOL, I repeat bado na TOP 3 hao hawatatoka hapo na ARSENAL hawezi kushindana na hao watu 3
Then kuna MANCHESTER UNITED may be may be huyu inawezekana tukashindana nae ila ni misimu mingapi sasa hii timu tumemaliza juu yake?sio kuwa akili yangu naijua mwenyewe no,I give you the Naked fuckin truth TOP 4 sio kama unaenda kukojoa mkojo wa asubuhi kirahisi rahisi may be ungesema TOP 6 ningeweza kukubaliana na wewe
Ok fine if you are talking serious unahisi katika hao nliowataja Arsenal anaweza akamaliza juu ya nani then tuone statement yako?
Daah. Xhaka saa zingine simkubali ila sipendi wachezaji wakiumia aisee (hata wachezaji wa rivals sipendi waumie na kushindwa kucheza mpira, nawaombea viwango vyao viwe vibovu tu).Habari mbaya Xhaka is out for 6-8 weeks, Arteta aende na Martinelli Left Winger, ESR anarudi na Partey kwenye mid,
sometime unaenda na ESR LW, lokonga X Partey kwenye Mid ila sio Pepe huyu ni wa benchi tu, Pepe ajifunze kwa Saka namna ya kucheza RW, game na Spurs Pepe angeanza RW ingeisha Arsenal 1-2 Spurs.
For sure Xhaka na Partey ndio midfield inayoweza kucompete na Rivals, hii ni break down kubwa kwa Arteta. 6-8 weeks duh!Daah. Xhaka saa zingine simkubali ila sipendi wachezaji wakiumia aisee (hata wachezaji wa rivals sipendi waumie na kushindwa kucheza mpira, nawaombea viwango vyao viwe vibovu tu).
Ni kweli aiseeeFor sure Xhaka na Partey ndio midfield inayoweza kucompete na Rivals, hii ni break down kubwa kwa Arteta. 6-8 weeks duh!
Marinelli and Pepe wataendelea kusubiri pale kwenye benchi la heshima hasa ESR na Star boy Saka wakiwa full fit.Habari mbaya Xhaka is out for 6-8 weeks, Arteta aende na Martinelli Left Winger, ESR anarudi na Partey kwenye mid,
sometime unaenda na ESR LW, lokonga X Partey kwenye Mid ila sio Pepe huyu ni wa benchi tu, Pepe ajifunze kwa Saka namna ya kucheza RW, game na Spurs Pepe angeanza RW ingeisha Arsenal 1-2 Spurs.