Arsenal (The Gunners) | Special Thread




 
Sijajua nani kawa MOM ila SAKA kacheza mpira mkubwa sana. Alikuwa akishika mpira unaona anakuwa na utulivu wa hali ya juu sana
 
Wanawake wa Arsenal muda huu wamewakalia wenzao wa man city hadi sasa wapo 4 bila.
Man u madume wala kichapo na wa kike nao wameliwa 6 kweli leo ugumu ugumu tu.
 
Jana Jiran Brentford kanifurahisha kumpunguza speed livapunga na leo majiran zangu Arsenane naona Arteta kaanza kuwaongopea kwa kushinda msahau wimbo wa Arteta out so sad for you maana kwa uongo wa leo mtaendelea kumuamin mpaka mwisho wa msimu kama kawaida nafas ya 9 au ya 8 I feel bad for you sijui mtaamka lini kwenye huu utapeli wa Arteta 🤔

don't forget that London is Blue
 
Shiiii, aliyelala usimwamshe
 
kesho muamke mapema mkachanje kama kulipa fadhila spurs alzowapatia
 
Unaota au umeamka.Maisha hubadilika kivyovyote usikariri kwa kikosi hicho hicho arsenal yaweza kufika mbali mkashangaa na dharau zenu mbona nyie mmepigwa tena nyumbani.
 
Hujui unachokisema, kocha anahitaji wachezaji wazuri ili Arsenal tuenjoy soka, kwa uwepo wa Cedric/Bellerin na Leno golini usingeona such kind of football, kwenye football mchezaji mmoja anaua system nzima ya timu.
 
Unaota au umeamka.Maisha hubadilika kivyovyote usikariri kwa kikosi hicho hicho arsenal yaweza kufika mbali mkashangaa na dharau zenu mbona nyie mmepigwa tena nyumbani.
Kanzu mpya sheikh wa zaman

Nasubiri kushangazwa chief na Arsenal na kuhusu kufika mbali kwa Arsenal unazungumzia kuchukua ubingwa au kuingia top four? Hebu fafanua hili

Kwenye ligi namna ilivyo marathon ndefu unategemea muujiza wa kutushangaza na wala sio quality ya wachezaji na mbinu za kocha? Kweli ushabiki umekufanya uwe kipofu hadi uhalisia hauuoni amka ulipolala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…