Tunatamba sana ila sioni mwanga mwema mbeleni, yani full kizaWakuu kiaje?
Naona Arteta anakaribia kuwa na kikosi kamili nilichokitabiri hapa cha first XI.
Ila Thomas Partey anaanzia bench.
Team news Arsenal dhidi ya Norwich
Arsenal XI: Kipa Ramsdale, beki wa kulia ni Tomiyasu, kushoto ni Tierney, beki namba nne White na mkoba ni Gabriel, Wachezaji wapembeni ni kushoto Saka na kulia Nicolas pepe.
Wachezaji wa kiungo n Maitland-Niles kiungo mkabaji, kiungo wa kati Sambi Lokonga na kiungo mshambuliaji Martin Odegaard na mshambuliaji wa kati ni Aubameyang.
Arsenal first XI
Arsenal XI: Ramsdale, Tierney, White, Gabriel, Saka, Odegaard, Aubameyang1, Maitland-Niles, Tomiyasu, Pepe, Lokonga
Mkuu, naweza kukubalia kwa 50/50No believe in Arteta
Tusipochomoa leo Arteta bado yupo safe amepewa 10 games.Tunatamba sana ila sioni mwanga mwema mbeleni, yani full kiza
Kil siku arteta anapewa mechi 10 tu....Tusipochomoa leo Arteta bado yupo safe amepewa 10 games.
Hii ni mechi ya nne kwenye ligi.Kil siku arteta anapewa mechi 10 tu....
Hii ligi ya msimu huu ni ngumu.Dissapointing performance
Hii ligi ya msimu huu ni ngumu.
Mechi karibu zote zaelekea kwenda mapumziko 0-0
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]
Endeleeni kuuguliaDissapointing performance
SorryVipi mechi? Tunaonyesha uhai au ni umbugila mbugila?
Mnashoot on target 1 hadi sasa mnatia aibu aisee Tena dhidi ya kibonde Norwich mnatatizo gani nyinyi?Vipi mechi? Tunaonyesha uhai au ni umbugila mbugila?
It's 1-1