Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Achana naye huyo stress za maisha zinamsumbua sana.Wanaosema Mou alifeli Man utd na Spurs sielewi ni vigezo gani wametumia. Ukimshtumu kwa tabia za ugomvi nitaelewa ila siyo uwanjani. Alikuja Man Utd akiwa na kikosi kibovu kabisa lakini ndani ya misimu mitatu alichukuwa makombe 3 ikiwa na pamoja na kuchukua Europ na mara moja akimaliza ligi akiwa wa pili, hebu tuambie Ole ni msimu wa ngapi, kachukua nini, wachezaji waliosajiliwa na majuzi kaongezewa mkataba.
Kuhusu Tottenham aliikuta ni ya 14 kwenye ligi,mwishowe kamaliza nadhani wa 5, kafukuzwa msimu ukiendelea na akiwa finali na Man City.Huwezi ita vitu hivi kuwa ni failure.
Wanaosema Mou alifeli Man utd na Spurs sielewi ni vigezo gani wametumia. Ukimshtumu kwa tabia za ugomvi nitaelewa ila siyo uwanjani. Alikuja Man Utd akiwa na kikosi kibovu kabisa lakini ndani ya misimu mitatu alichukuwa makombe 3 ikiwa na pamoja na kuchukua Europ na mara moja akimaliza ligi akiwa wa pili, hebu tuambie Ole ni msimu wa ngapi, kachukua nini, wachezaji waliosajiliwa na majuzi kaongezewa mkataba.
Kuhusu Tottenham aliikuta ni ya 14 kwenye ligi,mwishowe kamaliza nadhani wa 5, kafukuzwa msimu ukiendelea na akiwa finali na Man City.Huwezi ita vitu hivi kuwa ni failure.
Hebu tuwekee hapa hayo malengo aliyopewa na hizo timu na yakamshinda.Ku
Kufeli huwa tunaangalia malengo uliyopewa, sio hayo mengine.
Hebu tuwekee hapa hayo malengo aliyopewa na hizo timu na yakamshinda.
Facts zipi unazungumzia andikie CV na Arteta na mimi ni andike ya Nagelsmann au ndio umeamua kubisha? Sasa mimi na ww nani anaongea maneno ya kanga? WE KUBALI KATAA ILA TIMU HUNA, KOCHA HUNA NA TAJIRI MBAHILI. Halafu Barca na Bayern style ya uendeshaji tofauti na hiyo timu yako.
Halafu Pep alikuwa na watu gani wakati anapewa Barcelona? na Pep ilimchukua kipindi gani kuprove uwezo wake huwezi linganisha na huyo kocha wako.
Timu ina hali mbaya wewe unataka maswala ya trial and errors, halafu unajilinganisha na Bayern & Barca ambao wako serious kwenye uendeshaji wa timu zao.
wewe umeyatoa wapi?Sasa hayo kawaulize united
Nje ya reli wakati wewe huweleweki kama sigara kali kila mda unabadilisha magoli na kocha wako kimeo.Unatoka nje ya reli, point ilikuwa Arteta kumsucceed Pep Man city, ebu rudia kusoma ulichoandika, Not worth the energy.
Angalia asijekujinyonga huyo Chifu, si unajua jinsi gani washabiki wa Arse8 wanavyopitia wakati mgumu na maamuzi wanayochukuaga yasiyotabirikaNje ya reli wakati wewe huweleweki kama sigara kali kila mda unabadilisha magoli na kocha wako kimeo.
Sina cha ziada cha kusoma kutoka kwa mtu anaye endekeza mahaba kuliko uhalisia,toka kwenye hayo mahaba yako vaa uhalisia wa ya sasa Arsenal aliyokuwa nayo, ndipo utani elewa nilicho kiandika.
Jamaaa anatutania kistar. Haya bhana. Sisi hatuna budi aidha kuendelea kuvumilia na kushabikia mpaka timu yetu iinuke, au kuandamana uongozi ubadilikeMesut Özil aliyekuwa mchezaji wa Arsenal katikati ya mwaka 2013 na 2021 ameandika twitter, "Trust the process" akimaanisha Tuwe Na Imani Katika Mchakato wa kuifanya klabu kuwa Bora unaofanya na kocha wake wa sasa Mikel Arteta Amatriain. Post hii ni baada ya Arsenal kufungwa bao 5 bila na Man City.
Kwa nilivyoandka hopefully umeelewa kwamba nimefikisha ujumbe tu na wala Sina upandeNa wewe ukaamini kuwa alimaanisha arsenal wawe na imani na arteta.? Zile emoji alizoweka inaonyesha amekejeli/ameidharau timu