Arsenal inahitaji over haul. Conte nimemtolea mfano tu. Ila hao kina lampard hawawezi kuijenga timu. Si unakumbuka alivyoijenga Chelsea na akashindwa kufikia malengo?
Pole sana kaka. Najua unaumia sana but chukulia kawaida tu. Mpira ndiyo ulivyo. Najua kwa sasa mnapitia kipindi kigumu sana but usitetereke IPO siku mtasimama tena.
This is not acceptable, timu ndani ya mechi 3 inashika nafasi ya 20. haijawahi kutokea ni wazi uwekezaji kwenye timu umemshinda. Kwa Nini asiwaachie wenye uwezo?
Mkuu mnawaza kwa kutumia nini wenzetu?? timu pekee mpaka sasa hazijafunga goli lolote ni arsenal, wolves, crystal palace na norwich. Hii ni game ya mwanzo ya week 3, mpaka tukifikia game ya mwisho ya week hii pengine crystal palace, wolves na norwich watakuwa washafunga japo goli. Hapo pia kwa tajiri??