Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamani kama mlivyo Fanya kuchagua kuishabikia Arsenal sio dhambi,kosa la madai au kosa la jinai kuitelekeza hii sio ya baba yenu ,tafuteni team nyingine zipo 19 EPL usiwe Kupe .
hatuhami
 
Washabiki wa hii team muda si mrefu watatuomba tuwaombee kwa magumu wanayopitia ,na kiukweli ni matumizi mabaya ya dua na maombi ,team kama Brighton ,westham zipo waamie tu huko utaratibu mwingine utafuata
 
HT. City 3-0 Gunners.
Arsenal inahitaji maombi. Kwa sasa hii timu ni ya kawaida mno.
Fanyeni maamuzi magumu. Mtimueni Arteta. Tafuteni coacher mwenye uzoefu. Wapo wengi tu. Conte, kwa mfano.

Msipokuwa makini, hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Mnapoteza 3 game streight.
Leo kupigwa 6 ni kitu cha kawaida. Bado kina Mahrez hawajaingia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…