Kule amekuwa star wa timu. Kama kweli basi kila la kheri kwa Joe Willock. Labda Sambi yuko vizuri kuliko Joe katika ukabaji. Je anamzidi katika ushambuliaji? Nakumbuka dogo alifunga magoli mengi zaidi ya kina Partey na Xhaka msimu uliopita.
Kule amekuwa star wa timu. Kama kweli basi kila la kheri kwa Joe Willock. Labda Sambi yuko vizuri kuliko Joe katika ukabaji. Je anamzidi katika ushambuliaji? Nakumbuka dogo alifunga magoli mengi zaidi ya kina Partey na Xhaka msimu uliopita.
Kule amekuwa star wa timu. Kama kweli basi kila la kheri kwa Joe Willock. Labda Sambi yuko vizuri kuliko Joe katika ukabaji. Je anamzidi katika ushambuliaji? Nakumbuka dogo alifunga magoli mengi zaidi ya kina Partey na Xhaka msimu uliopita.
kijana kaenda kwa bei ya vunjabei, aliscore 7 consecutive games last season, hii damu ya Arsenal utashangaa misimu miwili mbele dogo anaenda Big club. Tumeuza wachezaji kama Emi,Guendouz,Willock, next Saliba.