Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aouar bado sana kwa tim kam Arsenal na Ligi kam ya Premier. Nafuu madson hata uyo locatelli bado sana.
 
Oyah, hata mimi nawashauri msajilini Maddison kuliko huyo huyo Aour.
Unajua kwanini?
Sikuambii mpaka mumsajili kwanza, japo najua ni ndoto za alinacha.
 
Dogo kupewa No 10 inaonesh dili la madson limekufa kwasbb madson hawez kuja arsenal akapewa namba tofauti na 10
Kwanini asipewe, hana ukubwa huo.. Zidane kafika madrid akavaa namba 5, cr7 akaanza na namba 9.
 
Naona Man city wameshindwa kuchukua kombe (UCL) sasa wanataka kulinunua kivyovyote, Kane £160m, Grealish £100m, in total £260m.
Wana bahati mbaya.

Uwekezaji kama huo halafu trophy unakuta ni FA au Carabao wakistretch zaidi ndiyo wanachukua na ligi.

Timu kama hii defense yake tu ina thamani ya Milioni 200+ sawa na wakina United na Chelsea, Arsenal itabidi ifollow suite itake isitake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…