Hivi huyu Arteta anaweza kunipa sababu kubwa 1 ya kwanini amemuanzisha Chambers badala ya Cedric?
Hili jamaa ni bure kabisa.
Arsenal hii hata akiachiwa Haji Manara anaipanga. Atuachie timu yetu kama hawezi kupanga hata kikosi.
Sent from my SM-G532F using
JamiiForums mobile app