HahahahaFinal Nimepata Uhuru Wa nafsi .... Baada ya miaka 20 ya kuishabikia Gunners sasa rasmi nimekuja huku !!! Araenal ya kina Pires , Ljuinberg , Ray parlour , Thienry henry , Gallas , Silva , Cole , kanu , Seaman , Reyes , Sol Camblie , sio Sawasawa na hii ya kina Saka View attachment 1782341
Tofauti sana na kina Arteta na lacazeteView attachment 1782345
Tofauti sana na kina Arteta na lacazeteView attachment 1782345
Hongera mkuu kwa kuhamia City na kuchukua ubingwa.Tofauti sana na kina Arteta na lacazeteView attachment 1782345
Mkuu Maisha Yanabana mihangaiko , huku Bongo Yanga nayo Inazingua ( ila siwezi hama ) kwa wazungu huko bora nipate haueni kidogo unarudi nyumbani unatabasamu kidogoHongera mkuu kwa kuhamia City na kuchukua ubingwa.
Binafsi nilitoka United 2005/06 nikahamia hili chama (baada ya FA cup final united vs Arsenal) kipindi hicho junk nipo primary, kiukweli sijawahi shuhudia tukichukua kombe la ligi EPL lakini nina imani.
Kwa wale mlioshuhudia The invincibles najua mnaumia zaidi kuona mwenendo huu wa timu.
In kroenke we trust this summer.
Hahahaha! na fans wengi wa Arsenal huku kitaa wanaisupport Yanga, na wadau wanasema Arsenal na Yanga haziwezi kushinda kwa pamoja ( kitu ambacho kweli kinatokea mara nyingi) hapo ndio kazi ilipo sasa.Mkuu Maisha Yanabana mihangaiko , huku Bongo Yanga nayo Inazingua ( ila siwezi hama ) kwa wazungu huko bora nipate haueni kidogo unarudi nyumbani unatabasamu kidogo
Kaka namba 8 hata kushut on target hawezi? Kwani AM siyo namba 8?Partey anaweza kucheza namba 8 kama tu utakuwa na attacking mid mzuri , El neny hata mimi nampenda ni mchezaji mzuri lakini anakosa consistency kwenye game ngumu kama liver na City lazima watamuexpose tu.
Leo ssPartey anaweza kucheza namba 8 kama tu utakuwa na attacking mid mzuri , El neny hata mimi nampenda ni mchezaji mzuri lakini anakosa consistency kwenye game ngumu kama liver na City lazima watamuexpose tu.
Arteta anaamini katika miujiza.
Kikosi alichopanga!?
Top scorer wako umemuacha nje.
Aliye kwenye form umemuacha nje.
Mchezaji uliyesema katoka majeruhi umempanga na mechi iliyopita uliyofungwa ukajaribu kumpa lawama.
Mchezaji uliyedai anaumwa, na siku zote yupo benchi humpi namba, namba yake unampa mchezaji ambaye hiyo siyo namba yake.
Halafu sub hadi dakika ya 80 au siyo?
kumbe sometimes ushabiki unauweka pembeniJana Leicester kashinda.
Kwa aliyetoka kumfunga Leicester hakuna aliyedhani angeshinda kwa United. Kabla ya game Ole alinukuliwa akisema kwa hizi mechi zinazoikabili United itabidi afanye rotation ya mpaka anapokutana na Villar fainali.
Lakini katika ligi ya Uingereza ukiiondoa City ni Chelsea pekee ambayo inaweza kutoa mtu na kuingiza mtu mwenye uwezo unaokaribiana na anayetoka. Chelsea wana kikosi kipana, pengine ndiyo maana hatujamsikia Thomas akiongelea swala la kikosi.
Arsenal tunaingia kwenye hii game tukiwa underdogs na morali iko chini, msimu kwetu hauna maana tena, mara ya mwisho tulikutana naye tukiwa hatuna morali tumefululiza kufungwa, tukaifunga Chelsea 3 - 1.
Kipindi hiki kuigeuza mechi ni ngumu kiasi chake ila kwakua hatuna cha kupoteza iingie tu timu yenye akili ya kushambulia hamna kujibana bana Martinell na Pepe wenye akili ya kushuti hata nje ya box wawekwe, Auba anayeweza kucut in na kuscore awekwe.
Tuna majeruhi, Emile, Mari na Luiz ingawa Emile na Mari wanaweza kuanza, Luiz ni uhakika kwamba hayupo.
Saa 4 siyo mbali.
Sina tabia ya mashabiki wa chelseakumbe sometimes ushabiki unauweka pembeni
Hivi king'amuzi gami kina gharama za kuvumilika kucheki epl ukiacha canal plus ambacho kulipia ni mpaka BurundiTayari