Arsenal (The Gunners) | Special Thread

First Half tumecheza ushuzi mtupu,Arsenal kuja kuwa team kubwa itachukua 20 years kwa kiwango chetu cha takribani 5 years in row na ningekuwa ni mmoja wa menejimenti ya Arsenal ningependekeza Tierney auzwe licha ni mchezaji mzuri sababu hajawahi kucheza mechi 5 mfululizo za EPL bila kwenda hospital
 
Hapa najiuliza Kwanini paka muda huu hatujafungwa??
Ilibidi tuwe tumeshawekwa 2
 
so far timu haina uhai ila kuna watu wakiendelea kupoteza mipira kama Ceballos,Pepe ila kwenye kujilinda tumejitahidi ila hii match tusipoteze point maana livekuku wamepania hii game
 
Mauaji yanaendelea huku, Salah kawa Miquison🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Tunataka kombe la europa seriously?? je huko champions league tunaenda kushindania nini kwa timu hii yenye laana?usiku mwema wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…