Dah kiukwel kam ni shabik wa arsenal unawez ulie kabsa. Mnashinda game moja znazofuta tatu kipigo. Oya wanangu wa The Gunners huu msimu tu skip mech zilizobak mpak Next season. Na hii game ya leo tu Quit iwe 3 bilaa
Hahaha ni noma. Kwani mara ngapi tumetakiwa kushinda lakini kocha anashindwa iongoza timu? Mara mtu atajifunga, mara red yaani unaona kama vile anakusudia.
Hii game tunahitaji ushindi ila timu inacheza kama inaongoza, nikaambiwa hiki ndiyo kiwango kinachotakiwa.
Game na West ham ni tough kweli,timu za kutumia nguvu zikicheza na Arsenal huwa tunapata tabu sana,Ngoja tuone yanaweza kutokea km ya Leicester city tukawapasua kirahisi tu