Ngoja tukutane tena ndio utajua praise team niko sauti ya ngapi.. Kile kipindi cha Lampard kila mtu anajipigia utafananisha na huyu mtu anayejielewa anafanya nini?
Hivi unaamini kabisa hata tukikutana kesho una hata ubavu wa kupata on target hata moja? Nakupa challenge hebu jitahidi utoke mid table hapo ndio tuanze kuongea haya vizuri.