Ripoti zinasema Odegaard amewaagiza maagent wake waongee na Madrid ili kutafuta uwezekano wa kubaki Arsenal kwa uhamisho wa kudumu.
Mchezaji yeyote anaenjoy appreciation na game time. Alex Song hakuona hili akakimbilia Barcelona akasahaulika, meanwhile Ceballos alishasema anarudi Madrid kugombea namba.
Tuangalie hii muvi.