14Henry
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 299
- 370
Ingawa nilijua tutashinda mechi, nilifurahi kuona wenzake Lamela wanavyomkimbilia wakishika vichwa kama hawaamini lile goli lilivyofungwa. Yaani ule mshangao na furaha yao kibinadamu nilifurahi kuona nikajisemea 'huu ndo mpira + burudani, bonge la goli' huku pia nikijisemea kuwa hawa Spurs wanacheka saivi ila punde tu watalia.Ile Rabona sio poa
