Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1st goal. Martin odegaard
1615746593809.gif
 
Absolutely class performance except for the last 15 minutes where we forgot how to use our legs. It’s just really really great supporting a team that looks like it knows how to play football again.
 
Spurs wamepata red imekua somo zuri kwa sisi ambao tukipata red automatically inakua death sentence.
Baada ya red spurs ikaamua kwamba it's half or nothing. Nimeikubali spirit yao.

Nilisema anastahili Pepe kuanza na Lacazette. Tunajua nini kimetokea baada ya uwepo wa Pepe, Pepe alitakiwa awepo from minute one.

Tatizo la timu kutokua na mawasiliano bado linaendelea. Timu inapoteza sana mipira hata ambapo kuna wachezaji 3.

Again bado hii ni kazi ya lady luck
 
Three players: Xhaka was immense today, did so much dirty work Lacazette was superb, looked like a tactical big move, he was immense ESR. What. A. Player. Pires like impact. So compact, efficient, and elite. What a day for Arsenal.
 
Emile Smith-Rowe ametengeneza nafasi 4 katika mchezo wa leo, zaidi ya mchezaji yoyote uwanjani.

#coyg 🔴 ⚪
 
Huyu Mtoto Tienery ni hatari mno. Atamnyang'anya Robertson namba kwenye Timu yao ya Taifa soon
 
utofauti kati ya mchezo wa leo na ule wa Desemba dhidi ya Tottenham. ,michezo yote Tulikuwa na mpira mwingi , lakini Odegaard na ESR ndio wameongeza kitu tofauti leo katika kutengeneza nafasi.
 
The potential and capacity that Emile Smith-Rowe possesses is absolutely magnificent. Top, top talent.

1615748340691.png


 
Jose ni nyoko, anauliza kuna post match interview kwa marefa? anasema inawezekana marefa nao wanachoka. Kevin Friend alimwambia Michael Oliver aende kuangalia lile tukio kwenye monitor Oliver akakataa, kwa kusema nilikuwa karibu na nimeona kilichotokea. spotkick
 
Jose ni nyoko, anauliza kuna post match interview kwa marefa? anasema inawezekana marefa nao wanachoka. Kevin Friend alimwambia Michael Oliver aende kuangalia lile tukio kwenye monitor Oliver akakataa, kwa kusema nilikuwa karibu na nimeona kilichotokea. spotkick
mou mshenzi tu
 
Back
Top Bottom