Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
ok,but hicho kipind spursy anatufunga ,tulikuwa na tatizo la ku create chances , hata smith rowe alikuwa bado hajaaminiwa,First leg spurs alitufunga 2 bila.
Alcheza kama olympiacos walivyocheza jana na sisi tulicheza kama jana tulivyocheza.
Back passes, sideway passes na krosi. Eti paste hicho kiwango EPL, humu kwenye uzi watu wanakimbia kwa hicho George amekibatiza jina la kiwango.
Mimi sitarajii Arsenal ifungwe na Spurs ili ninachoandika kiwe sahihi, next games baada ya spurs ni Olympiacos, Westham na Liva. Ili nilichoandika kiwe sahihi majibu yatapatikana hapo katika hizo games nne.
Hua hamuelewi hadi mshuhudie.
unaposema tulivyocheza jana ni sawa na tulivyocheza na spursy, nashindwa kuelewa.....


Kuna muda kipindi cha pili Olympiacos walitaka kuleta jeuri lakini ubora wa mchezaji mmoja mmoja wa Arsenal uliwezesha kuikamata tena mechi na kuwatungua Wagiriki katika ardhi yao .