Mimi kwangu mpira siyo matokeo. Namna tunapata matokeo inamatter kwakua lady luck hawezi kua on your side milele.nimeangalia vzr, binafs bora nikose chakula sio kuchek arsenal
walikuwa na maajabu gani? hata last season, hawakupita kwa ubora bali eerors dk za mwisho, na auba kukosa goli,
kipind cha pili walicharuka kidogo baada ya Partey kutoka, baada ya muda wakarud kukaa nyuma..
Ukitoa 3 errors , arsenal alicheza vzr tu, kama anavyosema George
Wewe unaongelea stats za possession ambazo zilikua ni back passes na sideway passes tu, hakuna through balls, hakuna counter. Katikati ya mechi niliingia hapa nikaandika 'Olympiacos wanafanya purposive movement, wakipata mpira ni kwenda kutafuta goli tu' siyo exact words lakini ndicho nilicholenga.
Olympiacos kutokana na hiyo mindset walicreate two big chances, sisi wenye possession 60% hatuna big chance hata moja.
Mechi tuliyocheza na leicester tukafanya comeback na mechi second leg na city ni mechi tulizoonyesha spirit, fluid movement na kiwango kuliko game ya jana.
Hatukua threat kwa Olympiacos kivyovyote. George anategemea stats ziandikwe aziwasilishe, hata hajataka kukilinganisha na alichokiona kwenye mechi.

