Ulisema Xhaka best yako.Calum Chambers anaweza kucheza CB, RB na DF. Amewahi kucheza in reality akiwa Southampton na Arsenal.
Wenger era alicheza sana nafasi hizo tatu CB, RB na DF (CB alicheza na Koscielny, Mertesacker, Gabriel Paulista.)
RB amecheza sana kipindi tukiwa na majeruhi na katika kumbukumbu goli lake la kwanza na la pili aliyafunga akiwa amepangwa RB.
DF alicheza kipindi Santi, Coquelin, Wishere na Ramsey ameumia mara nyingi alikuwa akisimama na Flamini.
cc. Castr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushamaliza kuhesabu mkuuu chuma cha ngapi??
[emoji23][emoji23][emoji23]assist6 nafas ya10 asst4 nafas ya 4[emoji23][emoji23][emoji23]takataka likitoa assist mnalfurahia akat limezdiwa magol na thiago silvaWillian ana assissts 6.
Ziyech na Pullisic wana assissts 4.
Ni sawa tu kwakua Thiago kazidiwa assisst na Kepa pia.[emoji23][emoji23][emoji23]assist6 nafas ya10 asst4 nafas ya 4[emoji23][emoji23][emoji23]takataka likitoa assist mnalfurahia akat limezdiwa magol na thiago silva
Sawa! Ujumbe nitamfikishia.Ulisema Xhaka best yako.
Mwambie anavyotufanyia siyo fair. True alitumia weaker foot lakini siyo excuse kwa anachotupitisha.
Hata mazuri yake hua unaona humu tukiyataja hii mechi ingekua iko hivi huku tuko nafasi nzuri kimechi na kimsimamo alichokifanya kisingeonekana cha hovyo as tungeamini tutarudi tena.Sawa! Ujumbe nitamfikishia.
-
Tukumbuke na mazuri yake kuweka uwiano sawa. Hata Aubameyang kuna kipindi alikuwa flop! Na tuliendelea kuamini atarudi sawia.
Kauli mbiu ni #VAROut
Wapambanane na hali zaoVAR IMEWAONEA JANA
A penalt is a situation where Saka is kumkwatua Wood akiwa anamuangalia kipa, akiwa katika uwezekano wa kufunga. Lakini marefa waliiacha hata VAR haikuhusishwa. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mikel Arteta: "Someone has to explain to me exactly what a penalty is"
Then akiondolewa kikosini utasikia, "Ni operation ya kuondoa watu wa imani fulani".Ulisema Xhaka best yako.
Mwambie anavyotufanyia siyo fair. True alitumia weaker foot lakini siyo excuse kwa anachotupitisha.
Una akili sana kama mtoto wa mwalimu ukisoma sana lazima uje kua nesiA penalt is a situation where Saka is kumkwatua Wood akiwa anamuangalia kipa, akiwa katika uwezekano wa kufunga. Lakini marefa waliiacha hata VAR haikuhusishwa. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app