Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ulisema Xhaka best yako.

Mwambie anavyotufanyia siyo fair. True alitumia weaker foot lakini siyo excuse kwa anachotupitisha.
 
Ulisema Xhaka best yako.

Mwambie anavyotufanyia siyo fair. True alitumia weaker foot lakini siyo excuse kwa anachotupitisha.
Sawa! Ujumbe nitamfikishia.
-
Tukumbuke na mazuri yake kuweka uwiano sawa. Hata Aubameyang kuna kipindi alikuwa flop! Na tuliendelea kuamini atarudi sawia.

Kauli mbiu ni #VAROut
 
Arsenal hii!!!!!!, ngoja nisimseme kocha, msije nitoa roho. Mara ya pili mfululizo xhaka anachoma
 
Sawa! Ujumbe nitamfikishia.
-
Tukumbuke na mazuri yake kuweka uwiano sawa. Hata Aubameyang kuna kipindi alikuwa flop! Na tuliendelea kuamini atarudi sawia.

Kauli mbiu ni #VAROut
Hata mazuri yake hua unaona humu tukiyataja hii mechi ingekua iko hivi huku tuko nafasi nzuri kimechi na kimsimamo alichokifanya kisingeonekana cha hovyo as tungeamini tutarudi tena.

Now next game ni dhidi ya spurs. Tunazidi jibakisha nafasi ya tisa na kumi.
 
Mikel Arteta: "Someone has to explain to me exactly what a penalty is"
 
Ulisema Xhaka best yako.

Mwambie anavyotufanyia siyo fair. True alitumia weaker foot lakini siyo excuse kwa anachotupitisha.
Then akiondolewa kikosini utasikia, "Ni operation ya kuondoa watu wa imani fulani".
 
Una akili sana kama mtoto wa mwalimu ukisoma sana lazima uje kua nesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…