Hii ni kwa mashabiki wa Arsenal tu, Msimwambie, mtu. Kama unataka kuangalia mechi yetu, download app ya StarTimes halafu lipa shillings 2200. Kuingia VIP na kuona mechi. Utaweza kuangalia vipindi for 24 hrs tu.
Castr, inakuhusu.
mimi sioni ushamba wowote hapo boss. bongo ina mambo mengi nahata ukikosa baadhi ya vitu bado hujapitwa.
Ila kwa sasa namfikiria huyu Benfica nitamuadhibu vipi...
Huyu Leicester Maddison anaumwa na ndiye aliwasaidia game iliyopita. Sema Leicester ana homa ya vipindi yaani unatamani kumuamini kwakua anatokea EPL na yupo nyumbani, at least double chance ya 1st half kusema atashinda au itakua suluhu inaleta matumaini.