Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Niko poa.Kaka unaendeleaje?
Kesho tunafuta makosa yetu.
Niko poa.Kaka unaendeleaje?
Kweli kaka?Niko poa.
Kesho tunafuta makosa yetu.
kt amefanya full trainingTrend ya tangu 2018 ni kuwafunga united na kusuluhu hatujawapiga nje ndani.
Wana kazi ya kuvunja hiyo circle. Tuna kazi ya kupunguza gape la point. Tulishinda tukiwa shit zaidi ya sasa kwanini ishindikane kipindi hichi?
Ole haoni tatizo kufungwa na sheffield, ana tatizo na kutomfunga Arteta tangu afike. Ole anajua hawezi kuchukua ligi, ndiyo maana ameopt kujijengea heshima kwa kuifunga Arsenal. Kocha serious game na sheffield ilitakiwa awaambie wachezaji wafie arena ila walete point 3.
Aubameyang hayupo means timu itabaki kua vile vile. Na kwakua hakuna uhakika wa uwepo wa Tierney basi kirudiwe kikosi kile kile.
Attacking workrate inaongezeka.kt amefanya full training
Dhidi ya Soton workrate ya Soares umeiona ya kawaida?All having been said, tuna pengo la mtu wa ku-deputise kwa KT, Cedric anacheza vizuri RB sio LB, ANM anaondoka kwa hiyo, hiyo nafasi lazima ijazwe
Exactly, that is what Iam saying, anacheza vizuri kulia kuliko kushotoDhidi ya Soton workrate ya Soares umeiona ya kawaida?
Mimi natamani Bellerin ale benchi. Aanze Soares na Tierney.
Mbona sisi tushawala sana nyinyi? Na leo tena.Amini msiamini, leo hii mnaliwa dry