Arsenal (The Gunners) | Special Thread

umesema kweli kwasasa tunamiliki sana mpira, tulikosa mtu tu wa kwenda mbele zaidi, rowe hiyo kazi anaiweza,kwasasa viungo wanaopeleka mipira mbele kuna partey, na smith ,

xhaka ,ceba, na elneny sio wabunifu kabisa kwa kupeleka mipira mbele, nilikuwa naangalia juza partey mipira yake dhid ya newcastle , 90% ni forward pass tu,
 
Jumanne tunakutana nao kwenye ligi. Unadhani tutarisk watu wote hao?
wengi hapo kumbuka hawakucheza juz
dhid ya newcastle, jana arteta kasema atapanga strong team, mtu kama pepe, willian, belle,chamber, gabriel, martinel, niles, elney aliingia sub,
 
wengi hapo kumbuka hawakucheza juz
dhid ya newcastle, jana arteta kasema atapanga strong team, mtu kama pepe, willian, belle,chamber, gabriel, martinel, niles, elney aliingia sub,
Baba apange anachopanga kikubwa southampton apasuke. Waliotufunga wote inabidi waonje kipigo. So apange anachoona ni sawa.
 
Nitaomba mnisaidie,up to now I still see Smith Rowe as an over-hyped player, sijakiona hicho mnachokiona kwake, bado sana, labda atumie nafasi hiyo kujipasha sanaaaa.
kwa uchezaji wa smith rowe itakuchukua muda kujua kipaji chake, binafs mimi nilikuwa napingq kupewa nafas, maana nilizoea wachezaji no.10 wenye udambwi udambwi, kumbe bhana...smith ni type ya mchezaji asiye na mambo mengi......mfatilie, akiwa na mpira anaachia ,anafanya movement.....hana mambo ya turnging, sijui visigino.....


angalia dhidi ya chelsea, alipopewa mpira faster hakufaanya ujinga zaidi alimpa saks, ndio maana kila siku ana percentage kubwa ya pass accuracy
Nitaomba mnisaidie,up to now I still see Smith Rowe as an over-hyped player, sijakiona hicho mnachokiona kwake, bado sana, labda atumie nafasi hiyo kujipasha sanaaaa.
Tangu mechi dhidi ya Chelsea, West Brom na leo hii dhidi ya Newcastle United .... jinsi anavyotafsiri ufanisi wa " THIRD MAN RUNNING " ananivutia sana, ni ngumu sana kukabiliana na mikimbio ya namna hiyo na katika mechi zote hizo tatu nimeona akifanya mara mara

Ona hiyo picha yupo katikati ya Saka na Lacazette. Pasi ya Saka inaenda kwa Lacazette na yeye anakimbia kwenda kwenye Box la Newcastle kupokea pasi kwa Lacazette. Huo mkimbio ndio ' Third Man Running ' . Kaweka gambani halafu kamalizia kwenye kona ya chini kulia kwa Golikipa . Brilliant !!!
 
ataelewa wapi huyo, Arsenal inajipanga summer kusajiri AM, wa bei nzuri, sasa hii january huwez kununua kwa bei ghari....Aour, buendia , summer watashuka bei, na odegaard akifanya vzr huenda akabaki,

summer kuna mustafi, luiz, n.k lazima wanasepa tutasjiri tu
 
Ni kweli arsenal wanahitaji addition asa kwenye nafasi ya utengenezaji (#playmaking) na hili swala hata arteta wamezungumza
Swala lililopo kwa sasa ilikuwa ni kuaffload baadhi ya wachezaji kuweka wages bill sawa kabla kufanya sajili kitu kimefanyika tayari
Niliwahi kusema january huwa sio dirisha la kimkakati bali ni kuziba mapengo tu penye uhitaji zaidi kwa kipindi cha ligi kilichosalia
deals nyingi january huwa ni loans(mikopo) sajili za pesa huwa ni chache sana
ndio maana arsenal kwa sasa wapo sokoni kutafuta playmaker atleast on loan hii huwa inafanyika kama temporary solution
ili dirisha la kimkakati summer wafanye sajili yenye tija na permanent transfer watu kama kina Aouar ambao kuwatoa lyon kwa sasa ni ngumu
Arsenal anatajwa kwa buendia ndio lakini possibility ni ndogo sioni arsenal ya kutoa price tag tajwa ya buendia january hii
kuna martin odegaard huyu ni promising player bado ana future ndefu kiuchezaji ila hayupo mipango zidane
na yupo sokoni kwa deal la mkopo sioni tatizo Arsenal kumsajili kama temporary solution kwa kipindi hiki team inahitaji depth
kuna watu watataja yupo smith rowe lakini ukweli ni kwamba rowe hawezi cheza game zote anahitaji rotation soka kuna kitu kinaitwa fatigue
hvyo kama arsenal watasajili aina tatizo kwasasa na ndio deal liko open kiasi
huyu martin ni playmaker sio type ya wachezaji kama martinell au saka sina maana kina saka wabaya ila attributes kiuchezaji
kunatofauti sana kiasi kati ya playmaker na aina nyingine ya wachezaji binafsi martin ni best option kwa aina ya deals za january, Japo buendia tulimuhitaji , shida hiyo bei ya paun mil40 kwaa sasa ni ngumu...ukizingatia summer aatapatikana kwa paun mil 20-25
 
Mama mama mama mamaa Southampton wabayaaaa!
Leo munavuliwa ubingwa.
Southampton
" layout="fill">
St Mary's Stadium
" layout="fill">
@EmiratesFACup fourth round
Muda ni SAA 15:15

Kuna cha kututisha kwa jinsi timu inavyocheza? " layout="fill">
 
Huyo ni wa kawaida tu, Kiufupi hana sumu .
Mutakuja kumkataa wenyewe huyo.
 
Arsenal team out. Pepe and Willian start. Cedric at left-back. Martinelli in too, as is Nketiah


Both Runarsson and Ryan on the bench.
 
Arsenal XI vs. Southampton: Leno; Bellerín, Holding, Gabriel, Cedric; Elneny, Xhaka; Pepe, Willian, Martinelli; Nketiah. Arsenal subs: Runarsson, Ryan, Chambers, David Luiz, Maitland-Niles, Partey, Willock, Saka, Lacazette
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…