Genge la wahuni wa Man hamna uwezo wa kutufunga acheni kelele, tena nxt mechi ni Saka,rowe,Auba,martinelli yaani pale mbele ni show show bandika bandua
Genge la wahuni wa Man hamna uwezo wa kutufunga acheni kelele, tena nxt mechi ni Saka,rowe,Auba,martinelli yaani pale mbele ni show show bandika bandua
Kufikia January 5 tunaweza kuona Sead Kolasinac na Willy Saliba wametoka kwa mkopo, je kutakuwa na maingizo mapya kuziba nafasi zao au kuimalisha kikosi katika nafasi muhimu? Özil atarudishwa kundini?