Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Mtaniswamehe kwa kuchelewa kuja kuwapa pongezi sio kila siku tuje kuwapa pole na kuwafariji leo ni pongezi hongereni sana
Mambo ya top tuachieni sie na hao Looserpool.
![]()
Wapi pongezi zetu Chief? Hebu fanya kutupongeza kwa kuwashushia kipigo kikubwa, na Jana bila zile kosa kosa tulikuwa tunawafunga goli 5+Top gani unaizungumzia mkuu. Nyie maeneo yenu ni hayo hayo mid table, pale top six kwa chini kidogo. Jana ni kwamba tuliwaombea mshinde kwa kuwa hatutaki kuona mnafukuza kocha maana ndiyo mtazidi kujivuruga.
Mambo ya top tuachieni sie na hao Looserpool. Wiki mbili hizi tumeinama kidogo kurekebisha baadhi ya sheria naona watu washaanza kujisahau. Wameanza kukichezea kiti!
![]()
Sasa hivi tumeinama kidogo kurekebisha baadhi ya sheria ndogo ndogo. Sheria ya ulinzi wa kati wa kushoto LCB (Milan Skriniar) na sheria ya kiungo cha ukabaji nyumbulifu (Marcle Sabitzer). Baada ya hapo tunakiwasha mpaka mwisho wa ligi.Sasa nyie muachiwe top ipi? Mna timu gani ya kukaa na kuwacheka Arsenal?
Kwa mchezo wa jana nawapa salute. Kulikuwa na ambition, motivation, aggressiveness, determination, na kila aina ya kitu timu inahitaji ili kupata matokeo kwenye mchezo muhimu kama ule.Wapi pongezi zetu Chief? Hebu fanya kutupongeza kwa kuwashushia kipigo kikubwa, na Jana bila zile kosa kosa tulikuwa tunawafunga goli 5+
Huo ndiyo uungwana Chief 👏👏👏Kwa mchezo wa jana nawapa salute. Kulikuwa na ambition, motivation, aggressiveness, determination, na kila aina ya kitu timu inahitaji ili kupata matokeo kwenye mchezo muhimu kama ule.
Jana mlikuwa kazini, kongole kwenu.
Basi sikukufuatilia vzr lkn jana nilivyoona kile kikosi kilinipa matumaini ya kushinda tena zaidi nilivyoangalia livescore nikaona arteta kaja na mfumo wa 4 3 2 1 na beki kasimama Pablo mari. Ukweli niliamini tutashindaItakua hukuona next comment ambayo nilisema.
Sofascore ilionyesha tunacheza 3 4 3 na emile acheze kama rwf ila saa hii inaonyesha ni 4 2 3 1 huku emile akicheza namba natural kwake.
Na linalala sebuleni kwa shemeji yake..Mwanamke mzur aliliwa na boya jan
Lijamaa halina ata kaz
No ni sikukuu ndio imenirejesha mkuu,nilikuwa porini huko network shida ila sasa sikukuu imenogeshwa na sisi kuwabandua goli 3 the blauzi![]()
Game ya leo itakuwa mida gani?
Saa tatu kamiliGame ya leo itakuwa mida gani?
HahaaaaaaaArteta anasema;
Nilikua naongea na rais wa Arsenal, Ken Frier, akaniambia huu siyo miongoni mwa misimu yetu mibovu niamini mimi. Nimekua hapa klabuni kwa miaka 70 huu ni msimu wetu mbovu kuliko yote.
Arteta anasema;
Nilikua naongea na rais wa Arsenal, Ken Frier, akaniambia huu siyo miongoni mwa misimu yetu mibovu niamini mimi. Nimekua hapa klabuni kwa miaka 70 huu ni msimu wetu mbovu kuliko yote.
Duh! Huyu mwamba amerudi, sio siri namkubali sana.Partey afta partey..