Dear arsenal funs,,,,
Mna dhihaka Sana grp za watu , Sina maana ya kuwakebehi, just kuwakumbusha tu ! Mmepoteana kiasi kwamba kuwakebehi Ni dhambi!
Mna mechi ngumu Sana Leo dhidi ya mr Carlo, kiroho Safi nawatakia kila la kheri !
Ikiwezekana kikombe hiki kiwaepuke ,,, !