Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi kweli unalinganisha epl na tanzania???
Mchezaji akipewa red card kwenye epl inagharimu hadi mechi zote hatakazomiss.
Hawa wazungu mkibaki 10 tu hata kama unacheza na crystal palace utaomba mpira uishe.

Hizi card nyekundu zinatugharimu sana sana coz hata mbinu za kocha zinabadilika, anachokuwa anawaza ni kudefence sio tena ushindi.
 
Dear arsenal funs,,,,

Mna dhihaka Sana grp za watu , Sina maana ya kuwakebehi, just kuwakumbusha tu ! Mmepoteana kiasi kwamba kuwakebehi Ni dhambi!

Mna mechi ngumu Sana Leo dhidi ya mr Carlo, kiroho Safi nawatakia kila la kheri !

Ikiwezekana kikombe hiki kiwaepuke ,,, !
 
Confirmation from Arsenal that Pierre-Emerick Aubameyang misses tonight's match with a calf injury.

I am skeptical if this is a reason for PEA not being in the squad today, because he doesn’t appear in the injury list. I guess this has something to do with players who are not contributing to the team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…