Angalia kikosi cha Arsenal mchezaji mmoja mmoja utagundua ni kizuri kuliko timu nyingi tu pale EPL including hiyo Man utd yakoMods piga ban hii raia..
Arsenal ana kikosi kizuri kushinda United?..
Aise nikajua watakuja pindua kila kitu kumbe...Aaron asernal na dully jr walivyokuwa wanapamba timu yao pre season
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Vile vimockey mouse cups viliwapiga wenge na upofuAise nikajua watakuja pindua kila kitu kumbe...
"Yaani kuona vitu ambavyo unatarajia kocha aone lakini ndio kama hajui vile"Wakati wa Wenger Xhaka alikua anaongoza kupiga pasi kwenye epl. Makocha wawili waliofuata walisababisha Xhaka aonekane mzigo mpaka akatishiwa kukatwa miguu.
Kisha Arteta kaja na akafanya Xhaka awe angalau ya alivyokua enzi za Wenger fans fell in love again. Kisha Elneny akaja nikasema Dani analamba benchi.
Na ikawa hivyo.
Akaja Partey na nikasema safari hii Xhaka analamba benchi.
Na ikawa hivyo.
Xhaka amekua muoga kugombea namba anacheza kivivu jezi ya Arsenal imekua nzito. Ilikua rahisi kwangu kujua Xhaka atawapisha Thom na Mo waliobisha walibisha na ukweli ukaonekana.
Timu haina akili ya kwenda mbele. Rosicky na Cazorla ilikua wakipata mpira wachezaji wengine had to burst into speed as these two ni kwenda mbele tu.
Lakini sasa hivi eti kiungo anapata mpira anarudisha kwa CB. Upuuzi gani huu? Entertainment siyo hizi back pass its how you can weave a goal as a team.
Kuna vitu vinakera. Yaani ni vitu ambavyo unatarajia kocha aone lakini ndiyo kama hajui vile. Saka akikaa kulia ataweza kucut in na kuscore same na Willian akiwa kushoto ukiwaweka kama jana watakua wazuri kwa cross na pasi tu.
Jinga
Nyinyi mmelambwa tano na hadi leo mpo itakua sisiHili li timu limeshajifia
Bado tu kuzikwa
Subili kesho mnaenda kusukumiziwa ukuni huko nyuma mpaka mshuke darajaNyinyi mmelambwa tano na hadi leo mpo itakua sisi
Hamna kusubiri. Sisi wenyewe tunawatamani hao soton tushawachapa wakiwa wamekamilika itakua sasa hivi? Akitoka huyo bado weweSubili kesho mnaenda kusukumiziwa ukuni huko nyuma mpaka mshuke daraja
Southampton wanakuja kutembeza mkuyenge humu mpaka mlainike tu
Boss Barca imefumuliwa yote baada ya zile 8."Yaani kuona vitu ambavyo unatarajia kocha aone lakini ndio kama hajui vile"
Tusimtupie lawama mmiliki. I am just saying.
Bro, wewe unajua mpira and I salute you!
Hata katika life ya kawaida, ukikosea kidogo tu unaweza kuurudia/kuangukia umasikini.Maisha sio fair kabisa yaani asernal wanafikiria kujinusuru kutoshuka daraja
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Nadhani inabidi tufikie huko, japo mimi nililiona hili hata nyakati za mzee Wenger. Uwezo wake mkubwa ndio uliifanya Arsenal iwe a top four team, wala sio board au mmiliki. Wenger was a football genius, alitumia limited resources kuifanya Arsenal a top top team. Leo tupo na average coaches ndio tunauona ukweli kuwa timu sio nzuri, japo on paper inaweza kuwa vizuri kuliko timu nyingi tu.Boss Barca imefumuliwa yote baada ya zile 8.
Wachezaji hatari waliwekwa sokoni mpaka kwa 1M Euro.
Ceo, board na first XI ikafumuliwa wakabaki wachezaji 4 nafikiri.
Time yetu inaweza kufika pia.
Mimi sioni kama kikosi ni kibaya. Shida moraliNadhani inabidi tufikie huko, japo mimi nililiona hili hata nyakati za mzee Wenger. Uwezo wake mkubwa ndio uliifanya Arsenal iwe a top four team, wala sio board au mmiliki. Wenger was a football genius, alitumia limited resources kuifanya Arsenal a top top team. Leo tupo na average coaches ndio tunauona ukweli kuwa timu sio nzuri, japo on paper inaweza kuwa vizuri kuliko timu nyingi tu.