Hahaaaaa ila kweli aisee
Astonvilla jumapili atusamehe tu kwakweli ,
Ila naona Arsenal tumeanza kucheza kwa mtindo wa Ku press na kukata highline ,
Ila Kazi waliyofanya Jana Xhaka na Ceballos , Aisee ni kubwa , Hakika Elneny kawatishia namba zao,
Elneny Alipoingia Hivi alipoteza pass kweli?
Kuna Goli moja kapiga Pre assist ,
Najua Sasa hivi Arteta anawasoma Astonvilla ajue anakuja na Package gani
Wale jamaa wana Viungo wazuri kama msipo wakamata , McGin , Douglas Luiz,Bakley ,Grelish
Hawa Partey anawatosha kabisa