Rob alikuwa anamchezea kihuni huyu dogo, akiruka anaruka nae,Eti kapiga hat trick kwa wale farmers basi manyumbu wakawa wanatuletea mdomo, wacha tumpige tanganyika jeki!!
Hapo anatembelea kucha
Tuiite hii kazi ya Arteta awamu ya pili. Ya kwanza ni kuimarisha ulinzi na kiungo kupunguza magoli ya kufungwa (eti kwa sasa tuna beki bora kwa EPL kwa kufungwa magoli machache). Ya pili itakuwa kuimarisha ubunifu na utengenezaji wa nafasi nyingi na kuzimalizia pia ili kuongeza magoli ya kufunga. Ya tatu ni kuchanganya hizi mbili vizuri na kucheza mpira unaovutia kiasi cha kumtoa nyoka pangoni au kumfanya shabiki wa timu pinzani kutamani kwenda kibanda umiza kuangalia chama letu kama ilivyokuwa zamani. Bado tuko awamu ya kwanza.Sidhani kama Auba kawa butu ila ukiangalia stats zetu utaona tunatengeneza nafasi chache sana na mfungaji tunaye mtegemea ni Auba pekee hivyo hata wapinzani haiwapi tabu kumkaba mtu mmoja. Bado timu yetu haina good balance kati ya midfield na attacking.
Enzi za Wenger tushakua na strikers za kawaida sana ambazo ziliweza kufunga magoli mengi si kwa sababu walikuwa strikers wazuri, bali timu ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sn. Yaani mtu ana goli 15 ila kakosa clear chances kama 40 hivi.
Adebayor, Bendtner, Giroud hawa wote walikuwa wa kawaida sana ila waliweza kufunga kutokana na multiple chances. Wangecheza kipindi hiki, wangezidiwa magoli hata na makipa wa timu zingine.
Enzi za Wenger tushacheza na strikers kama Yaya Sanogo, Joel Campbell, Jeremy Alladiere na Chamack na bado tulikuwa tunashinda kutokana na chances nyingi tulozokuwa tukitengeneza
FactKatika mechi tano tulitarget kukusanya points 15. Tukapoteza kwa liva tukapoteza kwa city na tukapoteza kwa leicester.
Tumepata points kwa man. Next fixture ili kukamilisha zile games tano ni dhidi ya Aston villa. Villa kapigwa jana lakini aliuwasha moto kiasi kwamba ilikua a matter of time before kupata sare.
Tukishinda itamaanisha katika games tano Arteta kamanage kupata points sita. Ni rekodi ya kutambia? Definitely "No" scorer ni Auba pekee na mabeki wote wamehamia kwake.
Shot takers hatuna. Jana Partey na Elneny walijaribu ila ilikua ni mara moja na hawakurudia tena.
Naamini kocha anaona timu yetu ikiwa na watu katikati inakua inao mpira ila haina mtu wa kusogea na kuigawa mbele. naona 3 4 3 ndiyo formation inayotufaa kwa sasa.
Wakati mwingine ni kumuamini kocha kuliko hata wachezaji.
Mnakumbuka ile game ya Dundalk muda mwingi screen ya Arteta ya game plan ilikua inaonekana na kila mtu? Inavyosemekana ni kwamba...
View attachment 1617840
Kiukweli kwa game na Utd na hawa defenders wetu wote ambao hawana uzoefu wa kutosha then wamewadhibiti manyumbu mwanzo mwisho, sikutegemea kabisa.Rob alikuwa anamchezea kihuni huyu dogo, akiruka anaruka nae,
Hii combo ni nomaView attachment 1617898
na wewe unakuwa kama dada poa, nimekuona kwenye jukwa la Man U ukiisifia Arsenal ilivyomtandika jana, halafu unakuja huku kuonyesha your hypocrites. Be like a man simamamia unaloliamini.Zile hat trick ni kwa sababu alikutana na wavimba macho, jana kakutana na wazee wa kazi hii ndo utajua wa epl😂😂😂😂😂
TrueKiukweli kwa game na Utd na hawa defenders wetu wote ambao hawana uzoefu wa kutosha then wamewadhibiti manyumbu mwanzo mwisho, sikutegemea kabisa.
Kuna mdau hapo juu kasema huyu Gabriel ni kama tumewatapeli Lille, kazi anayopiga na bei tuliyo mnunua havina uwiano kabisa. Ukimlinganisha na Halima gwaya dah.... lazma uamini uchawi upo.
jana nilimsikia Auba na Leno wanasema wapo kwenye process ya transformation, kawaida ukiwa kwenye process unamaliza moja before embarking on another.Tuiite hii kazi ya Arteta awamu ya pili. Ya kwanza ni kuimarisha ulinzi na kiungo kupunguza magoli ya kufungwa (eti kwa sasa tuna beki bora kwa EPL kwa kufungwa magoli machache). Ya pili itakuwa kuimarisha ubunifu na utengenezaji wa nafasi nyingi na kuzimalizia pia ili kuongeza magoli ya kufunga. Ya tatu ni kuchanganya hizi mbili vizuri na kucheza mpira unaovutia kiasi cha kumtoa nyoka pangoni au kumanya shabiki wa timu pinzani kutamani kwenda kibanda umiza kuangalia chama letu kama ilivyokuwa zamani. Bado tuko awamu ya kwanza.
Torreira au CazzorraHivì huyò aliyefutwa sura ni nani? View attachment 1617954
Ni sahihi mkuu, tuwe wavumilivu. Watu wanasahau huyu Arteta hana hata Managerial experience lakini so far hakuna kocha mkongwe pale EPL ambaye hajaonja shubiri yake.Tuiite hii kazi ya Arteta awamu ya pili. Ya kwanza ni kuimarisha ulinzi na kiungo kupunguza magoli ya kufungwa (eti kwa sasa tuna beki bora kwa EPL kwa kufungwa magoli machache). Ya pili itakuwa kuimarisha ubunifu na utengenezaji wa nafasi nyingi na kuzimalizia pia ili kuongeza magoli ya kufunga. Ya tatu ni kuchanganya hizi mbili vizuri na kucheza mpira unaovutia kiasi cha kumtoa nyoka pangoni au kumanya shabiki wa timu pinzani kutamani kwenda kibanda umiza kuangalia chama letu kama ilivyokuwa zamani. Bado tuko awamu ya kwanza.
Hivì huyò aliyefutwa sura ni nani? View attachment 1617954
@mysteriona wewe unakuwa kama dada poa, nimekuona kwenye jukwa la Man U ukiisifia Arsenal ilivyomtandika jana, halafu unakuja huku kuonyesha your hypocrites. Be like a man simamamia unaloliamini.
Giroud?Hivì huyò aliyefutwa sura ni nani? View attachment 1617954
Torreira alikuepo enzi kipa huyo jamaa? Cazorla haiwezekani as Ramsey yupo, Welbeck yupo na Mhktaryan yupoTorreira au Cazzorra