Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahah daa mkuu nimecheka sana kwa hii comment yako, wana wanavyo snitch Arsenal utadhani team zao ni bora vile!
Mtu aliyegongwa 3 na,
Palace nyumbani then akagongwa 6 nae anakuja kutulizia mahasra humu. Dullll
Ll
Llp0
P

L
0
L0p0p

00p0p0
Lp0p
 
Boss mpaka sasa Top 4 haielewiki,sisi tupo nafasi ya 10 lakini Everton anayeongoza ligi katuzidi points 4 tu,Halafu kibaya zaidi mapaka sasa hamna timu yenye uhakika na consistence ya kushinda match after match,

Nahisi hata matokeo ya leo ya Tottenham na Burnley yanaweza kukushangaza,

Huu mwaka sizani Kama bingwa atafikisha points 80+ kwakweli,

League ni ngumu mno,underrated team zinakupa matokeo ambayo huwezi kuayaamini kaabisa..

Ni kweli kabisa, lakini timu kama Everton iko pale juu kwa muda tu, wana kocha mzuri, first eleven nzuri ila hawana benchi.

Kuna muda majeruhi yakianza kwa sababu ya wingi wa mechi jamaa watapisha.

Unakumbuka Leicester City ya msimu ulioisha, ilikaa namba 2 kwa gap kubwa kwa Man Utd na Chelsea, ila mwishoni iliwapisha.
 
sikutaka kabisa kuongelea issue ya Ozil, lakini niandike mara moja tu: Katika hali ya kawaida, timu zinatakiwa kuwa na mtu wa kushughulikia maswala ya protocol. Ozil anaweza(sic) kuwa alikosea kuongelea uislamu na wachina. Lakini knowing that Arsenal are obligated to remunerate him 16,800,000 pound per annum whether he plays or not, they would have intervened to apologise as a team and prod him to apologise as well in order to appease the chinese community, ili maisha yaendelee. We are missing him not because his quality has dropped, it is because of his comments regarding mistreatment of muslims by chinese government. Mimi naamini alilolisema lina uwezekano mkubwa ni la kweli, I dont trust the chinese. Wana mambo fulani-fulani ya hovyo. Ozil akiwa uwanjani kuna vitu unaviona.
Timu ijenge tabia ya kuwa pamoja na wachezaji na kuwarekebisha kwa njia za kiungwana. Mtu wa protocol afanye kazi ya kuwakumbusha wachezaji kulinda image ya klabu. Sio mchezaji akikosea klabu inakutosa, na hili ndilo alilokuwa analiongea agent wa Ozil.
Nimemaliza na sitaongelea tena issue ya Ozil mpaka wakati wa dirisha dogo
 
Ni kweli kabisa, lakini timu kama Everton iko pale juu kwa muda tu, wana kocha mzuri, first eleven nzuri ila hawana benchi.

Kuna muda majeruhi yakianza kwa sababu ya wingi wa mechi jamaa watapisha.

Unakumbuka Leicester City ya msimu ulioisha, ilikaa namba 2 kwa gap kubwa kwa Man Utd na Chelsea, ila mwishoni iliwapisha.
Kwa msimu huu mpira tulioupiga katika mechi 6 hatukustahili kuwa nafasi ya 10 ila tumejitakia sisi wenyewe hiyo nafasi na tukiendelea kutofocus tutaenda chini zaidi baada ya Manchester United mechi zinazofuatia ni vs Aston villa and Leeds United (hizi timu 2 hazitabiriki kwa msimu huu na kwa mpira tunaocheza bila kucreate chances,back passes)mhhh ngoja nikae kimya tu
 
Ni kweli kabisa, lakini timu kama Everton iko pale juu kwa muda tu, wana kocha mzuri, first eleven nzuri ila hawana benchi.

Kuna muda majeruhi yakianza kwa sababu ya wingi wa mechi jamaa watapisha.

Unakumbuka Leicester City ya msimu ulioisha, ilikaa namba 2 kwa gap kubwa kwa Man Utd na Chelsea, ila mwishoni iliwapisha.
Yaa,upo sahihi mzee,mid table teams nyingi hazina team ila zina squad,Fatigue+injury ndo 'zinazowapunguziaga' makali mwishoni na katikati mwa msimu.
 
sikutaka kabisa kuongelea issue ya Ozil, lakini niandike mara moja tu: Katika hali ya kawaida, timu zinatakiwa kuwa na mtu wa kushughulikia maswala ya protocol. Ozil anaweza(sic) kuwa alikosea kuongelea uislamu na wachina. Lakini knowing that Arsenal are obligated to remunerate him 16,800,000 pound per annum whether he plays or not, they would have intervened to apologise as a team and prod him to apologise as well in order to appease the chinese community, ili maisha yaendelee. We are missing him not because his quality has dropped, it is because of his comments regarding mistreatment of muslims by chinese government. Mimi naamini alilolisema lina uwezekano mkubwa ni la kweli, I dont trust the chinese. Wana mambo fulani-fulani ya hovyo. Ozil akiwa uwanjani kuna vitu unaviona.
Timu ijenge tabia ya kuwa pamoja na wachezaji na kuwarekebisha kwa njia za kiungwana. Mtu wa protocol afanye kazi ya kuwakumbusha wachezaji kulinda image ya klabu. Sio mchezaji akikosea klabu inakutosa, na hili ndilo alilokuwa analiongea agent wa Ozil.
Nimemaliza na sitaongelea tena issue ya Ozil mpaka wakati wa dirisha dogo
That's the naked truth ukiniambia Willock Nelson Mustafi wapo kwenye list ya 25 available players wa EPL na Europa wakati Ozil hayupo(kisa hakabi eti na Jana Rodgers mjanja aliongea kinafiki huku anatuchora akimsapoti Arteta) kumbe anajua kazi ameimaliza mamamae
 
Kwa msimu huu mpira tulioupiga katika mechi 6 hatukustahili kuwa nafasi ya 10 ila tumejitakia sisi wenyewe hiyo nafasi na tukiendelea kutofocus tutaenda chini zaidi baada ya Manchester United mechi zinazofuatia ni vs Aston villa and Leeds United (hizi timu 2 hazitabiriki kwa msimu huu na kwa mpira tunaocheza bila kucreate chances,back passes)mhhh ngoja nikae kimya tu
Tatizo kubwa ambalo lilinifanya nichefuke jana, ni wachezaji kutojituma kama walivyo Leeds, Liverpool, Wolves, Aston Villa na kidogo Spurs. Wages bill ya Arsenal ni kubwa sana, hivyo tulitegemea kuona thamani yake kupitia ubora wa kandanda na kujituma.
 
sikutaka kabisa kuongelea issue ya Ozil, lakini niandike mara moja tu: Katika hali ya kawaida, timu zinatakiwa kuwa na mtu wa kushughulikia maswala ya protocol. Ozil anaweza(sic) kuwa alikosea kuongelea uislamu na wachina. Lakini knowing that Arsenal are obligated to remunerate him 16,800,000 pound per annum whether he plays or not, they would have intervened to apologise as a team and prod him to apologise as well in order to appease the chinese community, ili maisha yaendelee. We are missing him not because his quality has dropped, it is because of his comments regarding mistreatment of muslims by chinese government. Mimi naamini alilolisema lina uwezekano mkubwa ni la kweli, I dont trust the chinese. Wana mambo fulani-fulani ya hovyo. Ozil akiwa uwanjani kuna vitu unaviona.
Timu ijenge tabia ya kuwa pamoja na wachezaji na kuwarekebisha kwa njia za kiungwana. Mtu wa protocol afanye kazi ya kuwakumbusha wachezaji kulinda image ya klabu. Sio mchezaji akikosea klabu inakutosa, na hili ndilo alilokuwa analiongea agent wa Ozil.
Nimemaliza na sitaongelea tena issue ya Ozil mpaka wakati wa dirisha dogo
Si mlisema Ceballos anaweza kucheza namba ya Ozil? Na mkadai hata Madrid alikua AMF?
 
Hao tunawaombea washuke daraja kama yaliyowakuta Watford baada ya kutufunga 3 bila.

Ni ukosefu wa nidhamu kabisa.
Sisi Arsenal baada ya kufungwa goli 8 - 2 na Man Utd ya akina Rooney, nilitamani na wao wapokee kipigo cha aina ile ile kutoka kwa timu yeyote ili mradi tupoze machungu instead walifungwa bao 6 na Man City na baadaye kufungwa fainali ya Uefa bao 3-1 na Barcelona huku Mzee Farguson akipata ugonjwa wa kutetema. 😄🙌

Defeat yenu ya 7-2 kwa Aston Villa ilikuwa ni kumuaibisha bingwa mtetezi wa EPL though najua mkikutana tena ni lazima mtajitahidi mumfunge walau bao 3+ 😄
 
sikutaka kabisa kuongelea issue ya Ozil, lakini niandike mara moja tu: Katika hali ya kawaida, timu zinatakiwa kuwa na mtu wa kushughulikia maswala ya protocol. Ozil anaweza(sic) kuwa alikosea kuongelea uislamu na wachina. Lakini knowing that Arsenal are obligated to remunerate him 16,800,000 pound per annum whether he plays or not, they would have intervened to apologise as a team and prod him to apologise as well in order to appease the chinese community, ili maisha yaendelee. We are missing him not because his quality has dropped, it is because of his comments regarding mistreatment of muslims by chinese government. Mimi naamini alilolisema lina uwezekano mkubwa ni la kweli, I dont trust the chinese. Wana mambo fulani-fulani ya hovyo. Ozil akiwa uwanjani kuna vitu unaviona.
Timu ijenge tabia ya kuwa pamoja na wachezaji na kuwarekebisha kwa njia za kiungwana. Mtu wa protocol afanye kazi ya kuwakumbusha wachezaji kulinda image ya klabu. Sio mchezaji akikosea klabu inakutosa, na hili ndilo alilokuwa analiongea agent wa Ozil.
Nimemaliza na sitaongelea tena issue ya Ozil mpaka wakati wa dirisha dogo
@mysterio

Baada ya sakata la ozil kutokea,Na China kutishia kutoonyesha game zetu ikiwa ozil yupo uwanjani au sub,Arsenal waliamua kufanya 'opportunity cost' kwa 'kum forgone' ozil so as kuilinda brand ya timu,

China ina watu more than 1.5B na rekodi zinasema China na USA ndio good market(buyers) of our Items,ikiwa game ya arsenal 'haionyeshwi' China,Arsenal is likely to lose a lot of money,kwahiyo upo ready tukose revenues kisa kumchezesha ozil?,

Hili swala la ozil limekaa kisiasa sana na kidini na pengine arsenal wanatamani Sana wam 'support' ozil ila wakifikiria kuhusu biashara zao ndo wanapoamua mpaka kumtoa ozil kwenye hizo lists za wachezaji,

,Adidas mwenyewe ameona akae pembeni kwanza na ozil ili ailinde brand yake,

We used a huge a number of centuries to create our brand,never letting someone to destroy it..
 
@mysterio

Baada ya sakata la ozil kutokea,Na China kutishia kutoonyesha game zetu ikiwa ozil yupo uwanjani au sub,Arsenal waliamua kufanya 'opportunity cost' kwa 'kum forgone' ozil so as kuilinda brand ya timu,

China ina watu more than 1.5B na rekodi zinasema China na USA ndio good market(buyers) of our Items,ikiwa game ya arsenal 'haionyeshwi' China,Arsenal is likely to lose a lot of money,kwahiyo upo ready tukose revenues kisa kumchezesha ozil?,

Hili swala la ozil limekaa kisiasa sana na kidini na pengine arsenal wanatamani Sana wam 'support' ozil ila wakifikiria kuhusu biashara zao ndo wanapoamua mpaka kumtoa ozil kwenye hizo lists za wachezaji,

,Adidas mwenyewe ameona akae pembeni kwanza na ozil ili ailinde brand yake,

We used a huge a number of centuries to create our brand,never letting someone to destroy it..
sina hakika kama umeelewa point yangu
 
Si mlisema Ceballos anaweza kucheza namba ya Ozil? Na mkadai hata Madrid alikua AMF?
Sijawahi kuwa mmoja wao. Jana uliona walivyomfunika Ceballos. Namkubali sana Rodgers, unaujua mpira wa Uingereza na wachezaji wake wanafundishika. Ameusoma mpira wa Arsenal na akaona akiwazuia wachezaji x and Y basi amemaliza mchezo, and that is what he did.
 
sina hakika kama umeelewa point yangu
"Timu ijenge tabia ya kuwa pamoja na wachezaji na kuwarekebisha kwa njia za kiungwana. Mtu wa protocol afanye kazi ya kuwakumbusha wachezaji kulinda image ya klabu. Sio mchezaji akikosea klabu inakutosa, na hili ndilo alilokuwa analiongea agent wa Ozil."

Now I gotta boss
 
@mysterio

Baada ya sakata la ozil kutokea,Na China kutishia kutoonyesha game zetu ikiwa ozil yupo uwanjani au sub,Arsenal waliamua kufanya 'opportunity cost' kwa 'kum forgone' ozil so as kuilinda brand ya timu,

China ina watu more than 1.5B na rekodi zinasema China na USA ndio good market(buyers) of our Items,ikiwa game ya arsenal 'haionyeshwi' China,Arsenal is likely to lose a lot of money,kwahiyo upo ready tukose revenues kisa kumchezesha ozil?,

Hili swala la ozil limekaa kisiasa sana na kidini na pengine arsenal wanatamani Sana wam 'support' ozil ila wakifikiria kuhusu biashara zao ndo wanapoamua mpaka kumtoa ozil kwenye hizo lists za wachezaji,

,Adidas mwenyewe ameona akae pembeni kwanza na ozil ili ailinde brand yake,

We used a huge a number of centuries to create our brand,never letting someone to destroy it..
Point Ozil kaondolewa because of religion hayo ya mambo hakabi sijui hafiti kwenye mfumo ni sababu za kipuuzi kama ambavyo baadhi wanadai
 
Sisi Arsenal baada ya kufungwa goli 8 - 2 na Man Utd ya akina Rooney, nilitamani na wao wapokee kipigo cha aina ile ile kutoka kwa timu yeyote ili mradi tupoze machungu instead walifungwa bao 6 na Man City na baadaye kufungwa fainali ya Uefa bao 3-1 na Barcelona huku Mzee Farguson akipata ugonjwa wa kutetema. 😄🙌

Defeat yenu ya 7-2 kwa Aston Villa ilikuwa ni kumuaibisha bingwa mtetezi wa EPL though najua mkikutana tena ni lazima mtajitahidi mumfunge walau bao 3+ 😄

Hahaha, inauma sana.

Ila ndo mchezo ulivyo, siku ile tusingefungwa msala ungebaki kwa Man Utd.
 
Point Ozil kaondolewa because of religion hayo ya mambo hakabi sijui hafiti kwenye mfumo ni sababu za kipuuzi kama ambavyo baadhi wanadai
Ndio mzee na Tena baada ya China kutupiga mikwara,

Hayo Mambo ya kiufundi ambayo wanasema kua sijui ozil hakabi,sijui afanyejee,,,Ni kuzima hoja zetu tu sisi Mashabiki kuhusu uwepo wake.
 
"Timu ijenge tabia ya kuwa pamoja na wachezaji na kuwarekebisha kwa njia za kiungwana. Mtu wa protocol afanye kazi ya kuwakumbusha wachezaji kulinda image ya klabu. Sio mchezaji akikosea klabu inakutosa, na hili ndilo alilokuwa analiongea agent wa Ozil."

Now I gotta boss
Exactly, that is what I wrote, You cannot desert your valuable player just because of his comments and still you shoulder a strong financial burden in term of his wages. It costs nothing to come out and say I am sorry for my/someone's comment. Brand ya timu haijengwi kwa kumtosa mchezaji (your valuable asset). Again, sina hakika kama utanielewa
 
Exactly, that is what I wrote, You cannot desert your valuable player just because of his comments and still you shoulder a strong financial burden in term of his wages. It costs nothing to come out and say I am sorry for my/someone's comment. Brand ya timu haijengwi kwa kumtosa mchezaji (your valuable asset). Again, sina hakika kama utanielewa
I have well understood boss..
 
Back
Top Bottom