Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kufananisha leno na kijana ambae bado anajifunza mpira ni kumkosea heshima
Kwanini?
Asante mkuu kwa ufafanuzi wako mzuri.Ni kweli amepunguza sana makosa ukilinganisha na hapo nyuma, na kwa kuitazama timu ikicheza hivi karibuni mtazamo wangu juu ya hilo ni huu;
1. Tactically tangu aje Arteta kumekuwa na transition kwenye namna ya kudefend, kutoka kwenye man to man marking (enzi ya Unai) na kuwa na defensive unit (chini ya Arteta).
Under 'defensive unit style' simply one player (not necessarily a defender) does defensive role for the team and the team does it for a defender. Kwa hyo ni sahihi pia kusema Luiz anafichiwa makosa si tu na Gabriel bali na mfumo mzima.
2. Ukiwa unatumia defensive style ya namna hii unahitaji last central defender mwenye kuelewa game vizuri sana from the mid ground anayeweza kupredict nature ya attack na hivyo kuwa panga defenders wake vema.
Mabeki kama Luiz, Pique, Rio Frednand, Martesecker nk ukiwatazama ni kama sio defenders wazuri sana tactically ila ni wazuri sana kwenye kuorganize defense na kusaidia kupandisha mashambulizi kwa ama kupiga mipira mirefu au kuelekeza defenders wengine pa kupeleka mpira.
Ukiwatazama vizuri wakati wa game huwa wako kama kocha aliye uwanjani, muda mwingi huelekeza wenzao nini cha kufanya na namna ya kujiposition.
Madefender wa aina hii huwa wana nafasi nzuri ya kuwa makocha baadae kutokana na understanding yao ya game.Sorry sikuwa online for a while dully Jr
@isajorsergio naona unataka kumwaga mboga sasa

Nyie ni wasalit tu, kwan China imekuja kuwashika msimweke ozili uwanjanKwanini?
Hili swala la Nigeria ndugu Lina ushahidi wa kinachotokea , Kumbuka lile la China Alilosema Ozil, hakuna ushahidi hadi Leo kama ni kweli , ndio maana Wachina Walisema OZIL anawachafua ..
Halafu hapo arsenal hawa criticize serikali
Wao wamebase kwenye fan base yao
Issue ya ozil ile comment ili criticize serikali ya china ndipo tabau ikaanzia hapo..Wakadai anawachafua bila ushahidi


Mkuu unahisi hii defensive system ni bora zaidi ya man to man marking?Ni kweli amepunguza sana makosa ukilinganisha na hapo nyuma, na kwa kuitazama timu ikicheza hivi karibuni mtazamo wangu juu ya hilo ni huu;
1. Tactically tangu aje Arteta kumekuwa na transition kwenye namna ya kudefend, kutoka kwenye man to man marking (enzi ya Unai) na kuwa na defensive unit (chini ya Arteta).
Under 'defensive unit style' simply one player (not necessarily a defender) does defensive role for the team and the team does it for a defender. Kwa hyo ni sahihi pia kusema Luiz anafichiwa makosa si tu na Gabriel bali na mfumo mzima.
2. Ukiwa unatumia defensive style ya namna hii unahitaji last central defender mwenye kuelewa game vizuri sana from the mid ground anayeweza kupredict nature ya attack na hivyo kuwa panga defenders wake vema.
Mabeki kama Luiz, Pique, Rio Frednand, Martesecker nk ukiwatazama ni kama sio defenders wazuri sana tactically ila ni wazuri sana kwenye kuorganize defense na kusaidia kupandisha mashambulizi kwa ama kupiga mipira mirefu au kuelekeza defenders wengine pa kupeleka mpira.
Ukiwatazama vizuri wakati wa game huwa wako kama kocha aliye uwanjani, muda mwingi huelekeza wenzao nini cha kufanya na namna ya kujiposition.
Madefender wa aina hii huwa wana nafasi nzuri ya kuwa makocha baadae kutokana na understanding yao ya game.Sorry sikuwa online for a while dully Jr

Safi sanaaaaaaaaaaa, umeeleweka vema mkuu,Ni kweli amepunguza sana makosa ukilinganisha na hapo nyuma, na kwa kuitazama timu ikicheza hivi karibuni mtazamo wangu juu ya hilo ni huu;
1. Tactically tangu aje Arteta kumekuwa na transition kwenye namna ya kudefend, kutoka kwenye man to man marking (enzi ya Unai) na kuwa na defensive unit (chini ya Arteta).
Under 'defensive unit style' simply one player (not necessarily a defender) does defensive role for the team and the team does it for a defender. Kwa hyo ni sahihi pia kusema Luiz anafichiwa makosa si tu na Gabriel bali na mfumo mzima.
2. Ukiwa unatumia defensive style ya namna hii unahitaji last central defender mwenye kuelewa game vizuri sana from the mid ground anayeweza kupredict nature ya attack na hivyo kuwa panga defenders wake vema.
Mabeki kama Luiz, Pique, Rio Frednand, Martesecker nk ukiwatazama ni kama sio defenders wazuri sana tactically ila ni wazuri sana kwenye kuorganize defense na kusaidia kupandisha mashambulizi kwa ama kupiga mipira mirefu au kuelekeza defenders wengine pa kupeleka mpira.
Ukiwatazama vizuri wakati wa game huwa wako kama kocha aliye uwanjani, muda mwingi huelekeza wenzao nini cha kufanya na namna ya kujiposition.
Madefender wa aina hii huwa wana nafasi nzuri ya kuwa makocha baadae kutokana na understanding yao ya game.Sorry sikuwa online for a while dully Jr







Watu wanawachukulia poa sana West Ham kumbe wako vizuri.Kila nikikumbuka mechi ya Westham tulivyoshinda 2-1 watu wakawa wanatukana sababu ya kiwango kibovu na nikitazama matokeo ya Westham mechi zilizofuata baada ya kufungwa na Arsenal nabaki kucheka tu.![]()
Katoa draw na man city leo, lakini watu walivyoiponda timu yetu mpaka nikabaki nashangaa tu!.. Kiukweli mimi namkubali Arteta sana. Hata tukifungwa mimi nitaendelea kumkubali tuKila nikikumbuka mechi ya Westham tulivyoshinda 2-1 watu wakawa wanatukana sababu ya kiwango kibovu na nikitazama matokeo ya Westham mechi zilizofuata baada ya kufungwa na Arsenal nabaki kucheka tu.![]()
Kwa mimi naona ni bora zaidi kwa sababu hizi;Mkuu unahisi hii defensive system ni bora zaidi ya man to man marking?
Kumbuka unai emery alishawahi kwenda 22 games unbeaten!
Nilikomenti humu siku ile kuwa kuna hizi mid-table team kama Westham, Everton, Wolves, Palace na Leicester ukikutana nao performance sio muhimu sana kwa kuwa ni team stubborn sana. Chukua matokeo nenda zako.Watu wanawachukulia poa sana West Ham kumbe wako vizuri.
Watu wanawachukulia poa sana West Ham kumbe wako vizuri.Kila nikikumbuka mechi ya Westham tulivyoshinda 2-1 watu wakawa wanatukana sababu ya kiwango kibovu na nikitazama matokeo ya Westham mechi zilizofuata baada ya kufungwa na Arsenal nabaki kucheka tu.![]()
Everton naona kama msimu huu wameamua kuachana na mambo ya kuwa mid-table. Wanataka ubingwa kabisa hawa.Nilikomenti humu siku ile kuwa kuna hizi mid-table team kama Westham, Everton, Wolves, Palace na Leicester ukikutana nao performance sio muhimu sana kwa kuwa ni team stubborn sana. Chukua matokeo nenda zako.
China ndo wanao 7babish ozil atolew kwny teamKwanini?
Hili swala la Nigeria ndugu Lina ushahidi wa kinachotokea , Kumbuka lile la China Alilosema Ozil, hakuna ushahidi hadi Leo kama ni kweli , ndio maana Wachina Walisema OZIL anawachafua ..
Halafu hapo arsenal hawa criticize serikali
Wao wamebase kwenye fan base yao
Issue ya ozil ile comment ili criticize serikali ya china ndipo tabau ikaanzia hapo..Wakadai anawachafua bila ushahidi
Dah hawa Everton tusipokaa vizuri hawa ni balaa.Everton naona kama msimu huu wameamua kuachana na mambo ya kuwa mid-table. Wanataka ubingwa kabisa hawa.