computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
ExactlyHivi Leicester walivyobeba ubingwa walikuwa na false hope? Kama unajua maana halisi ya mashindano, huna sababu ya kutetea hilo mkuu, haya ni mashindano ni marathon hata ukimuuliza Arteta muda huu atakwambia anautaka ubingwa, kwanini sisi mashabiki tuwe na matumaini mengine ya kushindwa!
Leo umeshikwa pabaya coz wewe unakuwaga na maneno machafu sana kwenye nyuzi za wenzio.Weka na msimamo
Weka na msimamo
In Arteta we trust
Here we move
Uchambuzi? Wa nini sasa?
Timu imefight ngungwa ngungwa imewapa goli City.
Anyway, now angalia tutakavyodeal na Europa
Hayo mambo ya jikoni unayaweza wewe tuChambua hata mchicha.
Saka was superb yesterdayMchezaji pekee wa Gunners aliye cheza mpira mzuri kwa upande wangu leo ni Saka na Gabriel basi.
You think so???Habari gunners, wengi wetu humu mna matarajio makubwa kuliko uhalisia wa uwezo wa timu yetu.
On paper timu yetu inaweza kuonekana nzuri ila kiukweli bado inahitaji muda ili kuunda timu ya ushindani na kuwa invincible kwa timu pinzani, hii process haiji overnight.
Mimi najua ni lazima tutamaliza ndani ya top four msimu huu. Kuhusu ubingwa, no so fast.Poa tu kufungwa na man City siyo mwisho wa safari kuwania top 4. Tusonge mbele. Anayeongoza ligi tofauti ni pt 4 tuuu.
C O Y G ..
Hujui mpira mkuu. Samahani lakiniNi chizi tu ndio atakae amini msimu huu Arsenal8 atakuwepo big 4 (achilia mbali kuchukua ubingwa)
Issue kama ya Leicester hutokea once in thousand years.Hivi Leicester walivyobeba ubingwa walikuwa na false hope? Kama unajua maana halisi ya mashindano, huna sababu ya kutetea hilo mkuu, haya ni mashindano ni marathon hata ukimuuliza Arteta muda huu atakwambia anautaka ubingwa, kwanini sisi mashabiki tuwe na matumaini mengine ya kushindwa!
Kwani leicester alitabiriwa mkuu? Unapoingia ulingoni ukiwa na fikra za kupigwa utapigwa kweli,Issue kama ya Leicester hutokea once in thousand years.
Mpira sio mazingaombwe wala bahati nasibu.
Mbona sasa hatuitabirii shiefield kuchkua EPL?? Why??
Tena mtake radhi kabisa, ila hajui sokaHujui mpira mkuu. Samahani lakini
Inawezekana mkuuKwani leicester alitabiriwa mkuu? Unapoingia ulingoni ukiwa na fikra za kupigwa utapigwa kweli,
Mimi sibezi timu yeyote, hata huyu leeds anaweza kuwa bingwa.
Kwa sasa hatuna excuse yoyote ile kikosi kipo vizuri tumesajili hamna cha kuleta visingizio mara timu inajengwa mara tumecheza na magiant that's total nonsense hao Liverpool kapigwa 7 na Aston villa na Manchester City kafungwa 5 na Leicester tena this season Leicester alikuwa na kikosi kilichotwaa ubingwa na sidhani kama timu nzima ilikuwa inazidi thamani ya paund 2 Milioni mfano Leeds msimu huu wanacheza na kijituma kuliko sisi Arsenal(tuna Auba Pepe na Willian ila kupiga on target imekuwa tatizo kwa hawa watu)Inawezekana mkuu
Timu yetu tuna excuse too much wakati tuna squad bora yenye kuweza kupambana ila results ndio tatizo hata game tulizoshinda Emirates dhidi ya West Ham and Sheffield United nazo ilikuwa ni kubana pumbu mpaka filimbi ilie ndo unatabasamuWest ham ilitusumbua ila ona Tottenham anavyojipigia. Ndani ya dakika 30 vyuma 3.
Watu bado wanasema Partey alikua sahihu over Aouar.