Mh sometime hua sipati notification app yangu inanilimit kuona notifications zikizidi idadi fulani inakua ndiyo ishapita.Kwan na wewe unaweza kuchambua mpira?
Hizi update za Mascot kutimuliwa na zenyewe ni habari au za copy and paste anazoleta Aroon?
Umeanzisha mada kule nimekubana ukakimbia unakuja kutunanga huku.
Ila mzee nisikufiche mi bwana naweza kuchambua mchezaji mmoja mmoja. Yaani naweza kusema tu kwamba hiyo chapati na ikawa chapati kweli.Kwan na wewe unaweza kuchambua mpira?
Hizi update za Mascot kutimuliwa na zenyewe ni habari au za copy and paste anazoleta Aroon?
Umeanzisha mada kule nimekubana ukakimbia unakuja kutunanga huku.
Mzee wa mihemuko unarudi na story zako za kujitekenya na kucheka mwenyewe. Hayo maswali uliwauliza mashabiki gani wakawa hawajui?Chelsea vinabo.
Ukiwauliza wamemnunua Kepa kutokea timu gani watajibu Athletic Bilbao. Ukiwauliza kacheza misimu mingapi hawajui, kabla ya Bilbao alikua wapi hawajui.
Huyu Kepa safari yake ni kama Martinez wetu. Bilbao ilikua inamtoa kwa mkopo klabu zingine akaja msimu huo aliong'aa ndiyo chelsea ikatoa 80M yaani wazia kwamba Aston Villa watoe 80M kwa Martinez simply kwakua ameshaini hiki kipindi Leno majeruhi.
Leo hii Kepa thamani yake ni 18M. Ila Aston Villa wakajua lile ni bomu wakaliruka. Hivi vinabo havijifunzi, same comedy vimerudia kwa Werner.
Wyne Bridge kiazi tu yule alikua hapigi show ya maana.Jela na guest si alienda John Terry baada ya kufumaniwa na mke wa mtu? Vipi aliwahadithia kilichomkuta gest?
Lol!! Man that's your problems what I know u ran away.Mh sometime hua sipati notification app yangu inanilimit kuona notifications zikizidi idadi fulani inakua ndiyo ishapita.
Kukukimbia hapana. Labda niambie ulichosema
Wiki kadhaa nyuma mi ndo niliandika koment ya kuonyesha kwanini Kepa kadrop. Nataka uiambie akili yako kwamba "Mchezaji aliyenunuliwa kwa 80M mwaka jana sasa hivi thamani yake ni 18M"Mzee wa mihemuko unarudi na story zako za kujitekenya na kucheka mwenyewe. Hayo maswali uliwauliza mashabiki gani wakawa hawajui?
Pia kulingana na story yako labda pengine Timo umemjua wakati sisi tunamsajili kwasababu ndani ya misimu minne iliyopita anahusika na magoli zaidi ya 25 na kwa sasa ana miaka 24. Nadhani ulipaswa kumzungumzia Keppa pekee usimuingize Timo kabisa.
Hahaha dahWyne Bridge kiazi tu yule alikua hapigi show ya maana.
Nitabadilisha hii tecno tutaenda sawa tuLol!! Man that's your problems what I know u ran away.
Mkuu akiwa RB Leipzig kuna baadhi ya mechi alikua anatokea pembeni hasa kushoto na kuna baadhi alikua anacheza katikati na bado alikua anaperform fresh. Sasa nyie wacha-mbuzi mtu kacheza mechi 6 mmeanza nongwa tayari sijui mambo ya chapati na blah blah zenu. Ngoja aanze kuwanyoosha mtakula hizo chapati zenuIla mzee nisikufiche mi bwana naweza kuchambua mchezaji mmoja mmoja. Yaani naweza kusema tu kwamba hiyo chapati na ikawa chapati kweli.
Mfano mimi nakuambia hapa sasa hivi. Werner akiendelea kuwekwa atokee pembeni hamtafaidi matunda yake kama ambavyo mngemuweka kati. Pia Werner ataperform vizuri kama watakua strikers wawili pale mbele.
Sasa endelea kubisha.
Kumchezesha na mshambuliaji mwingine hapo inategemea na game kwa sababu ukishaweka striker wawili tayari umebadili mfumo 4-4-2 na watu wengi hawamuelewi Lampard ni kwamba anataka timu ambayo itakua na midfield wazuri hasa 6,8&10 defensive na attacking nakwa sasa bado ana strugle ndio maana utamuona Kai kacheza wing na wakati yeye ni AM Sasa katika kipindi ambacho anatakiwa kuweka hayo yote sawa wanakuja na majeruhi hapo unakua na upungufu wa wachezaji na bado kuna wachezaji wapya so usitegemee kuiona potential ya Timo katika kipindi kama hiki.Wiki kadhaa nyuma mi ndo niliandika koment ya kuonyesha kwanini Kepa kadrop. Nataka uiambie akili yako kwamba "Mchezaji aliyenunuliwa kwa 80M mwaka jana sasa hivi thamani yake ni 18M"
Unajua sometimes stats zinatufunga tunakua hatufikirii sana. Werner kahusika na hayo magoli na ni kweli, formation ya Leipzig ilimuweka Werner wapi? Huwezi utilize same ability kama humtengenezei mazingira.
Jamaa ana pace, ana shot power, finishing ipo isipokua hana skill moves za kuwatoka watu so kumuweka mbali na goli ni kuzidi kumpa tabu. Leipzig alikua anasimama na Yusuf pale mbele.
Huku alianza kwa kusimamishwa peke yake. Akasema mabeki warefu na wana nguvu akapelekw atokee pembeni kabisa.
Cc Aaron Arsenalnakuona unagonga spannish pizza na mikel
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Ngoja niseme kitu mcha-mbuzi mwenzangu.Kumchezesha na mshambuliaji mwingine hapo inategemea na game kwa sababu ukishaweka striker wawili tayari umebadili mfumo 4-4-2 na watu wengi hawamuelewi Lampard ni kwamba anataka timu ambayo itakua na midfield wazuri hasa 6,8&10 defensive na attacking nakwa sasa bado ana strugle ndio maana utamuona Kai kacheza wing na wakati yeye ni AM Sasa katika kipindi ambacho anatakiwa kuweka hayo yote sawa wanakuja na majeruhi hapo unakua na upungufu wa wachezaji na bado kuna wachezaji wapya so usitegemee kuiona potential ya Timo katika kipindi kama hiki.
Popote atakapo pangwa atacheza wakirudi Pulisic na Ziyech pengine itamsaidia kurudi kwenye ubora wake
Juzi juzi niliona mahali Wenger alisema akipewa kazi Arsenal hatokataa.Key points from Arteta's press conference
- Still hopeful Tierney could be available this weekend
- Saliba set to stay
- Partey to train for first time today
- Arteta wants 'massive figure' Wenger around
- 'Difficult decision' to leave Ozil and Sokratis out of EL squad
Sent using Jamii Forums mobile app
Arteta anasema kuhusu Wenger:Juzi juzi niliona mahali Wenger alisema akipewa kazi Arsenal hatokataa.
Nikaja kuona interview yake.
Leo naona kwako ukisema hii ishu ya 'massive figure'
I hope by massive figure hajamaanisha statue.
Watu wanaobet ni wapiga ramli
Hapa ni kwa muhindiWatu wanaobet ni wapiga ramli