OK great nimeelewa nowArsenal kupitia Digital inaingiza wastani wa billioni 2.3 kwa mwezi. Pesa hizi zinatokana na mitandao ya YouTube, Facebook, Twitch na Dugout.
Ni sawa na kusema mambo ya YouTube au Instagram hayana msaada kwa Diamond Platnumz.
Each post unayoitizama imewahusisha Santa Rita and mainly katika birthday issues inaingiza millioni 203 kwa klabu.
Arsenal ni Organization, Arsenal ni Kampuni, Arsenal ni Chuo, Arsenal ni timu, Arsenal ni familia.
Mimi kwa upande wangu nipo sambamba na Arteta.Hii inshu ya Saliba binafsi nimeshindwa kumuelewa Arteta na benchi lake la Ufundi.
Tulimsajiri Saliba ili kuunda msingi imara wa CBs maana ni moja ya eneo tulilokua tupo vibaya. Tukamuacha msimu mmoja ili ajijenge na kumuongezea uzoefu.
Now amerudi + usajili wa Gabriel wengi tukajua itaundwa pair baina yao na hii kuwa core ya defense kwa miaka mingi ijayo. Ajabu Arteta anadai Saliba bado hayupo sawa, anahitaji muda zaidi hivyo atolewe kwa mkopo.
Hii kwangu naona haipo sawa;
Angepewa nafasi kwenye timu acheze mechi baadhi za epl+ mechi kadhaa za fa, carbao au ueropa. Hii ingemuongezea kujiamini pia ku-adapt mifumo mbalimbali ya mwalimu. Kumpeleka timu za championship huko ni kumtumia vibaya refers Chambers.
Bado tuna shida ya CBs, kukaa kumtegemea Luiz ambaye hana misimu 2 mbele au kuwategemea Chambers, Holding na mwezao Mustafi ambao ni injury prone ni kujitafutia matatizo.
Muda ni Mwalimu mzuri ngoja tusubiri tuone ila kwa hili binafsi sijaafikiana na Arteta.
Dah umeni attack sana aiseeAaron Arsenal nimefuatilia sana namna unavyomzungumzia na kumchukulia Özil. Inaonekana wazi chuki kubwa uliyonayo dhidi ya Mesut ni concerning his religion! Yes, Özil anasamamia anachokiamini (Islam) kama wewe unavyosimamia unachokiamini (Sabath) na mimi ninachokiamini (Non-Affiliated), anachofanya Mesut nashangaa dunia kukiona kitu cha ajabu na kutanabaisha like Politics yes! dini ni politics but #BlackLivesMatter ni politics too. Kama Black Lives Matter ni humanity case same Ughur scenario ni humanity.
Leo hii watu wanajadiri Mesut alikutana na Erdoğan so what?! Mbona Walcott, Wilshire, Gibbs, Chamberlain, Jenkison na Ramsey walikutana na Cameron? Mbona Aubameyang alikutana na Ali Bongo? Mbona Mustafi alikutana na Ilir Meta wa footprint roots zake Albania na still ni Germany Passport Holder? mbona Xhaka amekutana na Simonetta Myriam Sommaruga. Why Ozil then?! Leo hii mmejitoa ufahamu Henrik Mkhitaryan alikutana na Armen rais wa Armenia mbona hamkuuliza? Well Mkhitaryan huyo huyo currently unaona hii post yupo anafanya situation hiyo hiyo kwa Azerbaijan na Turkey mbona watu hamsemi ni politics?
View attachment 1595695
View attachment 1595700
Politics? Mbona Arsenal walimsapoti Henrikh?!
Generally Özil is there na remember ni top 15 Footballers wenye ukwasi wa juu, hivyo haimsumbui na haina impact chuki mifano ya kwako ni dumbs tu. Kila myu asimamie anchoaamini, kinachofaa au chenye maslahi kwake.
Nimesikitika sana Huyo ndugu kusema namchukia Ozil, wakati nimeleta taarifa ,tena awali nilikuwa sijui kama hili la China lina athari kubwaAaron analeta kila taarifa, hachambui. Akikuta mtu kamsimanga Ozil analeta kama ilivyo tendo jema la Ozil kuofa kumlipa Jerry Quy.
Aliyekuja kusema Ozil anatafuta huruma ya fans ni member mwingine kabisa. Mimi nilisema Ozil anaponzwa na kujihusisha na hii ishu ya Uighur aliyekuja kupinga kwamba ni uongo isipokua mshahara na formation ndiyo vinamnyima namba ni Aaron.
So kusema Aaron ana chuki na Ozil hapana. Sidhani.
Kuhusu hao wachezaji wengine hao viongozi waliopiga nao picha wana influence gani kiuchumi duniani? Hollywood nzima imehamia China usishangae muvi za siku hizi kuona hata sura mbili tatu za kichina ukadhani ni bahati mbaya ni mkakati.
So taasisi zinajua alliance na China ni surefire way ya kutengeneza mpunga mrefu.
Sasa wakina Bongo na wenzake wanaweza influence ulimwengu?
Leeds United ndio wanaongoza katika timu zilizo cover distance kubwa.. Ikifuatiwa na Arsenal.Most distance covered by the ‘big six’ in the Premier League this season. View attachment 1595890
Sio Big 6Leeds United ndio wanaongoza katika timu zilizo cover distance kubwa.. Ikifuatiwa na Arsenal.
Au kwa kuwa sio timu kubwa?
Correct. Hauwezi kuliangalia hili kwa wepesi. Timu zinaajiri 'social media consultants' na wana 'public relations officers' kwa ajili tu ya kuongezea mahusiano kati ya timu na mashabiki kwa nia ya kuongezea timu faida. Kuhusu wanawake wa ManUtd, sijui lakini nahisi kwamba kwa sababu ni wamarekani na huko kwao pia jezi za timu ya taifa za wanawake zimepita kwa mauzo jezi ya wanaume so kuna support kubwa kule. Nadhani media za USA imesupport sana mchezo wa wanawake kuliko maeneo mengine. Pia labda imechangiwa na hawa wawili kuwa wapenzi so wanapata support kutoka kwa wanaofuatilia mahusiano yao?Inasaidia indirectly.
Seems Arsenal fan wameanza kurudisha imani kwa timu.
Inapandisha morali ya timu.
Kufikia mwezi uliopita jezi iliyokua inauza sana ni ya Arsenal ikiwa imeipiku jezi ya liva. Hiyo pesa itatumika kuendeshea timu na usajili.
Usajili unaleta wachezaji.
Wachezaji wanaleta makombe.
So it does.
Meanwhile wachezaji 2 wapya timu ya wanawake ya Man u jezi zao zimeuza juliko jezi za timu nzima ya wanaume kwa mwezi uliopita.
Unadhani maguire anajisikiaje? Atoke kupigwa sita halafu sokoni kumekua hivyo
I stand with Ozil ndani na nje ya uwanja. Kwa hili nakubali tu tutaumia kiuchumi hadi June. Si mbali. Tunakosa ubunifu na mpira mtamu ila ndiyo hivyo tena.Kama China inafanya aliyoyasema Ozil mi Niko na Ozil
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hili la upenzi ndiyo nimejua kutoka kwako muda huu. Ingeku lesbianism ni factor katika ununuzi wa jezi hauoni na jezi ya Greenwood ilitakiwa kupaa kimauzo?Correct. Hauwezi kuliangalia hili kwa wepesi. Timu zinaajiri 'social media consultants' na wana 'public relations officers' kwa ajili tu ya kuongezea mahusiano kati ya timu na mashabiki kwa nia ya kuongezea timu taifa. Kuhusu wanawake wa ManUtd, sijui lakini nahisi kwamba kwa sababu ni wamarekani na huko kwao pia jezi za timu ya taifa za wanawake zimepita kwa mauzo jezi ya wanaume so kuna support kubwa kule. Nadhani media za USA imesupport sana mchezo wa wanawake kuliko maeneo mengine. Pia labda imechangiwa na hawa wawili kuwa wapenzi so wanapata support kutoka kwa wanaofuatilia mahusiano yao?
Kweli. Najaribu tu kujiuliza maswali maana United wamekuwa na timu ya wanawake juzi juzi tu, sijui 2017 or so kwa hiyo ningetegemea wao wategemee nyota ya timu ya wanaume so nashangaa imekuwaje. Ndiyo maana nikaanza na kuhisi kuwa kutoka Marekani ni factor pia. Swala la upenzi kwenye soka la wanawake ni la kawaida sana , nahisi 40% wanaweza kufika. Greenwood sijui lolote kuhusu yeye.Hili la upenzi ndiyo nimejua kutoka kwako muda huu. Ingeku lesbianism ni factor katika ununuzi wa jezi hauoni na jezi ya Greenwood ilitakiwa kupaa kimauzo?
Arsenal ilitenga jukwaa la gays, lakini sales haikua kubwa. Notisi kwamba jezi ya Arsenal imepaa kimauzo baada ya Arteta, kuitransform timu na hizo trophies mbili. Same kwa liva.
Nahisi mafanikio ya timu na mashabiki kua na imani na timu ni factor kubwa kuliko kua gay au lesbian.
Angetaka kuonesha huo utu, angekuwa Sheikh kwenye mimbari kama Masheikh wengine wanavyo fanya.Kama hao wachezaji waislamu uliowataja wanaangalia maslahi zaidi ? Je ni jambo bora kutanguliza maslahi badala ya utu?
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Kwa population iliyopo China (1.5b+) ambayo ni almost robo ya dunia nzima na ukichanganya na uchumi wao lazima awe na power sana, ndio maana hata US anaufyata na pia China ana influence kwenye mataifa mengi ya Asia.Wanatunishiana misuli jamaa.
For the first time this season, kuamkia leo ndo wameonesha game ya NBA kupitia CCTV (China TV).
View attachment 1595624
Ha haaa, nadhani aliambiwa kabisa anyoe, tactically nywele zinaupoza mpira kwa hiyo defender akipiga header (tofauti na paji la uso) mpira utaangukia karibu na kukaribisha shambulizi zaidi.Nimecheka sana ulivyomaliza hapo
Mbona Arteta alikuwa very clear, ni sahihi kwamba alikuwa kwa mkopo last season lkn muda mwingi alikuwa majeruhi kisha issue ya covi-19 ikazuka kwa hiyo hakuwa na successful loan spell.Hii inshu ya Saliba binafsi nimeshindwa kumuelewa Arteta na benchi lake la Ufundi.
Tulimsajiri Saliba ili kuunda msingi imara wa CBs maana ni moja ya eneo tulilokua tupo vibaya. Tukamuacha msimu mmoja ili ajijenge na kumuongezea uzoefu.
Now amerudi + usajili wa Gabriel wengi tukajua itaundwa pair baina yao na hii kuwa core ya defense kwa miaka mingi ijayo. Ajabu Arteta anadai Saliba bado hayupo sawa, anahitaji muda zaidi hivyo atolewe kwa mkopo.
Hii kwangu naona haipo sawa;
Angepewa nafasi kwenye timu acheze mechi baadhi za epl+ mechi kadhaa za fa, carbao au ueropa. Hii ingemuongezea kujiamini pia ku-adapt mifumo mbalimbali ya mwalimu. Kumpeleka timu za championship huko ni kumtumia vibaya refers Chambers.
Bado tuna shida ya CBs, kukaa kumtegemea Luiz ambaye hana misimu 2 mbele au kuwategemea Chambers, Holding na mwezao Mustafi ambao ni injury prone ni kujitafutia matatizo.
Muda ni Mwalimu mzuri ngoja tusubiri tuone ila kwa hili binafsi sijaafikiana na Arteta.
Sidhani kama ni fair kumfanyia Xhaka tathmini kwa mechi moja, huyu jamaa hata tukipata midfielders bora kuliko yeye ukweli utabaki kuwa ametubeba sana kipindi tumemtegemea na kuhitaji huduma yake.Jana Xhaka katoa boko huko kwao akapigwa goli. Hii midfield ya xhaka tutafika kwel!?
Me pia nimemsoma, anasema kuwa akijengewa defensive unit nyuma yake ili asiwe na majukumu ya kukaba kama alivyo mtumia yeye atacheza na kusaidia timu.Nmeona tetesi mahali flani mtandaoni... Kibabu Arsene Wenger anahimiza na kudai ya kwamba özil bado anaweza kuisaidia pakubwa sana Gunners...
Umeongea ukweli mtupu, na ndicho alichosema ArtetaMbona Arteta alikuwa very clear, ni sahihi kwamba alikuwa kwa mkopo last season lkn muda mwingi alikuwa majeruhi kisha issue ya covi-19 ikazuka kwa hiyo hakuwa na successful loan spell.
Unapopeleka mchezaji kwa mkopo mahali kwa tactical issues unamueleza akaimprove attributes zipi na unachagua club itayo msaidia kufanikisha hilo.
Saliba ameambiwa akajirekebishe kudefend set pieces na aache kutumia diving tackles. Kwa EPL kama huwezi kudefend set pieces vizuri timu ndogo zitakuua kila siku na kwa tackles zake ataumia almost kila mechi.