Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Ceballos akiwa Madrid alicheza kama CMF. Kaja Arsenal akwa CMF pia.

Now tusibase sana kwenye kumuangalia Emery na failures zake na Ceballos na passes zake.

Kuna post hapo juu nimeiandika.

Kwa sasa mi naishia hapa.
 
Huyu Ceballos akiwa Madrid alicheza kama CMF. Kaja Arsenal akwa CMF pia.

Now tusibase sana kwenye kumuangalia Emery na failures zake na Ceballos na passes zake.

Kuna post hapo juu nimeiandika.

Kwa sasa mi naishia hapa.
Huko Real Madrid, alicheza sana kama kiungo wa kushoto(LCM) katika 4-3-3.

Kutoka hapo, ilikuwa kawaida kumuona akiendesha timu mbele na akiunganisha mashambulizi na beki wa pembeni - Marcelo na winga wa kushoto.

Ceballos sio nzuri wakati wa kuchukua mpira( take-ons.) Yeye ni mzuri zaidi kwa kupiga chenga ili kuhifadhi na kuuumiliki mpira na uwezo wake zaidi umejikita zaidi kuelekea kushambulia sideways ili atengeneze nafasi.

Ceballos linking play on the left flank with the striker, winger and the full-back



Unamuona hapa yupo kama LCM kwa zidane kwenye 4-3-3

Ceballos in Zidane’s 4-3-3

 
Edu on Partey:


"With his all-round game and positive aggressive style, he will be a brilliant addition to our squad. We’ve made a strong start to the season and we want to continue to build on this with Thomas now part of our club.”
 
Tunatakiwa kupunguza wachezaji wawili, wapo 19 wanatakiwa 17 hapa ,tuwatoe kwa timu za EPL ,maana dirisha la ndani linafungwa tarehe 16

Ninachokiona kwa maoni yangu ,Ozil hatasajiriwa. ,na Mmoja katika mabeki atauzwa au mkopo
 
Boss unajaribu kuhalalisha Aouar kutonunuliwa kwaajili ya Dani? LCM or RCM in a long run ni CM tu. Nilifikiri unataka kusema Madrid alicheza AM kumbe hivyo? Its possible kwake kutembea kutoufuata mpira as Marcelo ni attacking fullback mzuri.
 

Its a better window for Arsenal, hatujawahi kufanya sajili kiasi hiki kwa muda sana na pengine tangu Wenger apewe kikosi. Mapema kabisa nilisema humu tukimpata Partey na Dani akaongeza loan, Aouar si muhimu sana msimu huu labda next season.

Xhaka, Dani, Willian na may be Ozil (kama atabadilika) wote hawa ni AMF wazuri tu. Kwenye defensive role ndio tulikuwa na Elneny pekee baada ya Torreira kutokuwa chaguo la kocha, with Partey we got more options now.

Hapo bado hujagusia makinda nadhani wanne tulioongeza ambao ni teenagers wote wanaenda kufuliwa under 23 na Per Martesecker. Na pia tume off load some high earning players to balance our books.

Project ya Arsenal under Arteta ni long termed na ndio maana hata mwanzo tulisema kwa msimu huu tukiingia big 4/Uefa na kufanikiwa kuretain FA Cup na may be tukabeba Europa itakuwa mafanikio makubwa sana and I can smell it coming!!
 
Tunatakiwa kupunguza wachezaji wawili, wapo 19 wanatakiwa 17 hapa ,tuwatoe kwa timu za EPL ,maana dirisha la ndani linafungwa tarehe 16

Ninachokiona kwa maoni yangu ,Ozil hatasajiriwa. ,na Mmoja katika mabeki atauzwa au mkopoView attachment 1591803
Mimi ningewatoa Cedric, Mari na Sokratis nimwache Ozil ili wachina wakilegeza tumchezeshe
 

Tena kuna uwezekano Arsenal wakarudi kwa Houssem Aouar mwezi January au June na huenda ada yake ya usajili ikashuka.

Bado kuna wachezaji wataondoka na khasa Mesut Ozil ambae atapunguza gharama za mishahara.

Thomas Partey alikuwa ni primary Target na Houssem Aouar akiwa ni secondary target.

Safari hii Arsenal wanafanya usajili wao kimyakimya na hushtukizia na fedha mezani.
 
Boss unajaribu kuhalalisha Aouar kutonunuliwa kwaajili ya Dani? LCM or RCM in a long run ni CM tu. Nilifikiri unataka kusema Madrid alicheza AM kumbe hivyo? Its possible kwake kutembea kutoufuata mpira as Marcelo ni attacking fullback mzuri.
Sasa Hapo mwenye jukumu la AM ni nani unavyoona wewe?

Sometimes Ni majukumu tu ,mpira upo hivo siku hizi,

Bado Willian ni AM mzuri kama.tukitaka kumtumia
 
Sasa Hapo mwenye jukumu la AM ni nani unavyoona wewe?

Sometimes Ni majukumu tu ,mpira upo hivo siku hizi,

Bado Willian ni AM mzuri kama.tukitaka kumtumia
Soma hapa
 
Xhaka naturally sio defensive midfielder, tangu katua Arsenal alikuwa akicheza na hawa, Wilshere, Coquelin, Elneny na Torreira ambao wote hawa walikuwa wakicheza kama defensive midfielders.

Xhaka, Carzola, Ramsey na Ozil at times walikuwa ni AMF wetu na walicheza na hao DMF hapo juu.

Ni huyu Emery tu ndio alimconsider Xhaka kama DMF na tuliona wote alivokuwa flop. Ukicheki stats za Xhaka kwenye kufanya tackling na interceptions utaona naturally sio DMF.

Tazama hapa tangu msimu wa 2017/2018 alipokuwa deployed kama DMF baada ya injury za Coquelin na Wilshere kwa vipindi vichache vya msimu utaona alichezea yellow cards za kutosha.
 
Nimebahatika kwa muda mrefu sana kumuangalia Thomas.. Kiukweli huu ndio usajili niliokuwa nikiutaka kwa kipindi kirefu sana.

Anaesema hana creativity napenda kumshauri asimalize maneno, asubiri kumuona jamaa akianza kazi.. Hope hajawahi kumfuatilia akiwa anacheza.

Hiko kikosi ulichoweka hapo Aaron Arsenal ndio kikosi ninachoomba kicheze muda wote kuanzia sasa na formation hiyo hiyo.

Ni lazima tuswitch kutoka 3-4-3 kwenda 4-2-1-3 au 4-3-3. Hii ndio mifumo ya magoli.

Hapo hata tukutane na mkubwa yeyote ni lazima apate tabu!
 
Mpira ni noma.

Mimi nilikua nasema ni vizuri tulivyofocus na Houssem kwakua kazi ya Thom itafanywa na Elneny huku mwingine anaona bora tumemsajili Thom kwakua kazi ya Houssem ataifanya Dani.
 
Mimi ningewatoa Cedric, Mari na Sokratis nimwache Ozil ili wachina wakilegeza tumchezeshe
Haihusihan na wachina kwanini watu wanatengeneza hizi Story ?

Mbona kwa emery alikuwa hachezi hilo la wachina lilikuwa bado halijatokea.


Kinachomfanya Ozil asicheze kuna Factors 2-3

1.Ozil kwenye mkataba wake ana vipengere vya Bonus anapocheza analipwa , sasa Timu haitaki kuingia gharama zaidi ,bado analipwa £300k+

Hata Auba , willian wanavyo

2.Ozil aliingia mgogoro na klabu kwenye kukatwa mishahara , aliwagomea kabisa ,hakufanya fair kumbuka kina Auba na wengine walikuwa mstari wa mbele kujitolea ,yeye Akagoma kabisa akiwa na sababu zake

3. Kwasasa Kocha anatumia mifumo ya 3-4-3 na 4-3-3 ,na Kocha anatumia system ya kukaba kwa Pamoja na sio individually , so Ozil anakosa sifa ....

4.Klabu kwasasa Haitaki gharama zisizo na msingi, ndio Maana Hata Katuni letu wamelisimamisha kazi kwa Muda had mashabiki warudi,


NB: Ozil zama zake zimeisha ila bado ana uwezo wa kucheza , ila Kocha alishaamua hamuhitaji , Sawa na Matteo Guendouz waliyamaliza kabisa na klabu lkn Kama asingeondoka asingecheza hata bench asingepangwa .......Je na huyu tusemaje
 
Emery alimlostisha Xhaka kwakua alikua anamuacha asimame kama single. Wakati anafanya vyema pembeni yake akiwepo mtu mwingine.

Xhaka alikuja kama cmf.

Chini ya Wenger formation ilikua ni 4 2 3 1. Xhaka alicheza kwenye 2. Ni lini alikua amf?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…