Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
sio dharau, that is a calculated way of taking penalty, you move slowly towards the ball while studying keeper's movementsHuyu Niles ana 'dharau' sana, ile penalty utafikiri tunaongoza 5-0 afu ndio kapewa atupie la sita, very relaxed!!
Yes i know bro, ndio maana nimetumia 'dharau'. Kimsingi nimeipenda sn penalty yake, ilikuwa amazing!!sio dharau, that is a calculated way of taking penalty, you move slowly towards the ball while studying keeper's movements
Mnakutana na City, yeye huwa anaweka wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza.
Na ukumbuke, mara ya mwisho mmemfunga FA, lazima awakomalie.
Game itakuwa tight sana ila tukifanikiwa kuangusha na huu mwamba, sioni mwingine wa kutuzuia.
Kwa sasa tukiwa kwenye mashindano yoyote pale England, ni Liver na City tu ndio pasua kichwa hawa wengine wachaguane wamtume yoyote yule 'atachakaa'.
Wacha kulialia, sasa kwanini mlileta timu uwanjaniExactly. Do you think the effort is the same?
Hua inasemwa mashabiki wa liva mambo yakienda kombo utashangaa kiingereza kimepamba moto DullyJr
Game ya jana Liva imeanzisha regular starters wangapi na Arsenal imeanzisha wangapi?
Previous game kwenye Carabao liva ilianzisha regular starters 5 Arsenal ilianzisha 3 tena inacheza na Leicester.
Hapo nani yupo serious na carabao?
Mkuu hebu nendă kule katuwekee vyumaMr, dont drift coz I have won all kinds of cups that you currently have. What about you? Have you done the same? Any European cup?
Currently, For what you are, carabaos and FA cups are only your priorities (what within your reach), neither EPL nor UEFA which you only wish to participate in achilia mbali winning it.
Thats why I said, we differ in ambitions.
Mkuu hebu nendă kule katuwekee vyumavya kutuliza akili wikiendi hii,
Hii Arsenal ya Arteta ni kisanga, itaendelea kukuumiza siku hadi siku kama hutoielewa, ina uwezo wa kumfunga yoyote,
Kwenye FA ni bahati haikuwa kwake la sivyo angeshinda. Sasa atatukuta na confidence na atakuwa na hofu flani maana ametushuhudia tukishinda mechi ngumu kadhaa sasa.Mnakutana na City, yeye huwa anaweka wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza.
Na ukumbuke, mara ya mwisho mmemfunga FA, lazima awakomalie.
Usipindishe maneno sijui "oooh labda january", ongea kama mwanaume kwamba hatutampata yoyote kati yao.Wewe hakuna mchezaji atasajiliwa ndani ya siku zilizobaki. Arsenal tunaijua ni mwendo wa porojo na blah blah nyingi.
Partey na Houssem ni CL player waje Arsenal kufanya nini? Labda usajiri wa Jan wakati mambo yashakua magumu kwenye zao.
Naona klopp katuletea shida mjini hapa,haya ulikuwa huna misuli ya kuyazungumza kipindi klopp yupo BVBAnd why do you think you didn't spend? ... priorities. FAs to you are 'world cups'.
And to remind you politely, Mr. Castr, The defender you mock, personally, won UEFA Men's player of the year award. PFA Players' Player of the year award. Premier League Player of the season and included in FIFPro World XI. What about you? Have you ever had one?
Thanks for your wishes.
Wakuu, mbalala za liva zisiwape shida ni za kupuuza tu, ni maneno ya mkosaji tu
Mtu anakuja na hoja ya regular starter
As if walıocheza ilikuwa ni wachezaji wa Malindi ya Zanzibar,
Kazi yetu ni kuwakeraaaaaArteta fanya juu chini turudi UEFA tutambe mtaani aisee. Ungeona jinsi watu wanakuja kutuchefua humu JF kisa tumewashinda kwa penalties tu na hatuko UEFA, na tulivyo na timu mbovu ungeshawanunua kina Partey siku nyingi sana. Hakuna wenye majungu kama wabongo aisee. Tumia tu translator ingia humu usome mambo yalivyo mabaya 😀 😀 😀
Say you!!!Yes. You will always do that in Mickey Mouse cups