Tena hii tungepewa tungempa Niles aipige. Jamaa anataka kuwa kama Lauren enzi zile za Invincibles kwa penalties.Acha maneno mrembo. ,Wenye bahati Ni Liverpool ambao walibebwa hii penalty View attachment 1587811
We boya europa hiyo ni ipi labda uliibe kombe [emoji23][emoji23][emoji23]Vikombe vya ulaya sijui kwanini waga vinatushinda ila safari hii hiki cha Europa ni jasho na damu
Kalaghabao cup.Halafu washika bunduki wakamchapa loserfool, au hukuona. Karibu basi London ya Red.
Wewe jamaa bana... [emoji23][emoji23] muda ni mwalimu mzuri sana. Ngoja tuone mwishoni itakuaje.Ona hapa.
Lampard aliahidi kikombe msimu huu. Juzi katolewa carabao, anabaki kwenye FA, ligi na UCL.
Ongea ukweli wako unahisi katika FA, ligi na UCL ni kikombe kipi atachukua?
Klopp kafungwa na Arsenal mara mbili, ya pili akatemeshwa na ngao ya hisani. Akatumia wiki nzima kunung'unika na kuchimba watu mikwara juu ya anfield. Kashinda mechi ya kwanza, ya pili kafurumushwa carabao.
Baada ya mechi kama kawaida kunung'unika.
Kuna Ole. Wakina Keane wamemuambia fungate limeisha alete vikombe. Lakini Ole ndiyo kwanza yupo kwenye majaribio ya formation.
Hizo timu mid zao thamani ni kuanzia 130+M
Kisha kuna Arteta...
*Uefa champions league*
*Group K*
Arsenal
Mbeya City
Gwambina fc
Toroli kombaini.
Aseno anakufa goli 4 bilaNaona next game tuna Man city,mlima mwingine mgumu wa kupanda.
Mpira ungekua hivo,Man utd angemfunga crystal palace,Chelsea angemfunga WBA,ila kwakua mpira ni tactics na mchezo wa wazi,let's wait for that day.Aseno anakufa goli 4 bila