Washenzi wakubwa haoWahuni hawa , ila Arsenal kawaweza ,
Wanatakiwa waji commit Loan with obligation to buy
So Next season uhakika lazima walipe hiyo €24m , hivo tutaspend huku una uhakika hiyo hela msimu ujao unairudishia
Ndicho naona kinachotaka kufanyika, ndio maana tumewakazia hapo ,
Wao kwa Partey hawataki negotiation
hasa kipindi cha emery.Uko sahihi, tactically discipline yetu imepanda sana. Mbali na redcards tulikuwa tunatoa penati nyingi sana, kona na fouls kibao huku tukiwa wabovu sana kwenye kudefend set pieces.
hasa kipindi cha emery.
Hivi umewahi kuona Arsenal mbovu kama ile?
Dah Emery sijui hata tulimchukuaje, ukichanganya na pesa aliyo tumia kusajili angepewa mtu kama Arteta tungekuwa mbali sana.hasa kipindi cha emery.
Hivi umewahi kuona Arsenal mbovu kama ile?
Kweli aisee ndan ya Miez 18 katumia £200mDah Emery sijui hata tulimchukuaje, ukichanganya na pesa aliyo tumia kusajili angepewa mtu kama Arteta tungekuwa mbali sana.
Kweli aisee ndan ya Miez 18 katumia £200m
Yule jamaa sitamsamehe kwakweli
Si kiungo mbaya ila sishawishiki kama ni mtu ambaye ataongeza pale tunapo pungukiwa, my humble opinion is that, we need him not.Jorginho naona ni moja ya backup ya Viungo kama tukiwakosa hasa Aouar
Sky sport news
Nadhan ni Strategy za usajiri hasa dirisha likiwa ukingoniSi kiungo mbaya ila sishawishiki kama ni mtu ambaye ataongeza pale tunapo pungukiwa, my humble opinion is that, we need him not.
Possibly, usajili una mbinu nyingi sana.Nadhan ni Strategy za usajiri hasa dirisha likiwa ukingoni
Either Arsenal wame vujisha habari kuwapa presha Atletico na Lyon
Au Chelsea ,maana Chelsea wanamihitaji Declan rice
Wa Chelsea? Si DMF huyu?Jorginho naona ni moja ya backup ya Viungo kama tukiwakosa hasa Aouar
Sky sport news
Caballos alianzisha ule utotoNketiah anabadilika attitude na kua shit?
Move ya goli la kwanza dhidi ya Leicester ilianza kwa Nketiah kumpa pasi Pepe, Pepe akadrible mpaka ndani ya box na kupiga low cross ambayo iliblokiwa.
Palepale Nketiah akaonyesha kuudhika na kumuonyesha Pepe ishara ya 'Ungeuleta hapa' muda huo move bado inaendelea Pepe anapambania ule mpira uliokua blocked. Akaupata akaupeleka tena katikati ambapo ukamgonga Fuchs na kua goli.
Kwa kasi ya ule mpira Nketiah angeugusa lingekua goli pia. So ile ilikua ni pasi.
Lakini hata baada ya kua goli bado Nketiah akaonyesha ishara ya 'Ungeuleta hapa' mimi naona huyu ameanza kua mbinafsi anaamini yeye ni muhimu kuliko timu.
Wiki nyuma ametoka kugombana na Ceballos. Hata bado hilo halijapoa jana ameleta hilo jipya. Guendouz attitude yake ndiyo inamuweka benchi, tuna Folarin Balogun, tuna Gabriel Martinell huu wakati wa kukaza na kuexcel katika nyanja zote mpaka nidhamu yeye ashaanza kuota mapembe.
Balotelli alikua kipaji pia ila tunajua leo alipo na kwanini yupo pale.