14Henry
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 299
- 370
All the best to him 👏 Top lad.BBC: Emiliano Martinez is having a medical at Aston Villa before completing a £20m move.
Martinez set to sign for Villa for £20mView attachment 1567894
All the best to him 👏 Top lad.BBC: Emiliano Martinez is having a medical at Aston Villa before completing a £20m move.
Martinez set to sign for Villa for £20mView attachment 1567894
Tunaongoza kimasihara. Imebaki kuchukua ubingwa kimasihara.Utopolo naona mnaongoza Ligi...![]()
Ndiyo, naona wewe unaongoza majungu.

Usijali mzee huwa mnaanza hivo hivi..
Unatukosea adabuUtopolo naona mnaongoza Ligi...![]()

Nketiah anatakiwa awe na adabu kwa Dan
Ila ukiangalia hiyo video naona kama Dani ndio alikaba kwa namna ambayo ingeweza kumuumiza Nketiah, nadhani ndio maana dogo alimind.Huyu Dani mhuni mhuni Nketiah atalambishwa sakafu ajute.
On a serious note..
Mchezaji ambaye yupo kwa mkopo performance yake ndiyo itaamua mkataba wake hivyo kuchezewa rafu ni kukatisha ndoto.
Huyu dogo akianza mambo ya Samir Nasri ya kukwaruzana na watu wazima ataishia kama Nasri au Wilsehre.Nketiah na Dan kabla ya Mechi walizinguana...
Sio kitu kizuri Kama Team ...Hoping kocha atawaweka sawa.View attachment 1567872
Tushakutana FA na Bielsa wao na Tukampiga 1-0 Arteta akiwa kocha wa Arsenal au umesahau???????Tukikutana na Leeds tujipange. Wako vizuri.
Liva imeruhusu magoli 3 tayari. Na ni mapema tu ligi haijafika mbali na kikosi hakijachoka.
Wakikutana na Chelsea itakuaje?
Tukikutana na Leeds itakuaje?
Mm game ya leads cja hianglia mnatk kuniambia wap vzur kulik fullham?Tushakutana FA na Bielsa wao na Tukampiga 1-0 Arteta akiwa kocha wa Arsenal au umesahau???????
Unajua kama wamesajili msimu huu? Hahaha ulijua kama watatikisa nyavu za Liva mara tatu?Tushakutana FA na Bielsa wao na Tukampiga 1-0 Arteta akiwa kocha wa Arsenal au umesahau???????
Matokeo yao last year na second game Fulham alikuwa na red card that's why nasema EPL haitabiriki kupata 3 points its not easyMm game ya leads cja hianglia mnatk kuniambia wap vzur kulik fullham?
Tukikutana na Leeds tujipange. Wako vizuri.
Liva imeruhusu magoli 3 tayari. Na ni mapema tu ligi haijafika mbali na kikosi hakijachoka.
Wakikutana na Chelsea itakuaje?
Tukikutana na Leeds itakuaje?
Sisi mechi 2 za mwisho na Liverpool je wametufunga????Unajua kama wamesajili msimu huu? Hahaha ulijua kama watatikisa nyavu za Liva mara tatu?
Mpaka Liva wanatumia mbinu za chelsea za kushika watu wanaoenda kukaba ili wapate goli?
Yan arsenal waki kamilish usajir wa partey daaa itakuwa vzur zaid ya sana bado nafac hiy2 haija zibwaSisi mechi 2 za mwisho na Liverpool je wametufunga????
But you need to agree kuwa tulikutana na hawa Leeds January FA wakatuchezea mpira 1st half ila second half Jasusi Arteta akawasoma na tukawatoa na wachezaji ni hawa wanaocheza leo yaani hawa hawa
Wako vizuri. Au pengine Liva wapo vibaya.Mm game ya leads cja hianglia mnatk kuniambia wap vzur kulik fullham?
Yan arsenal waki kamilish usajir wa partey daaa itakuwa vzur zaid ya sana bado nafac hiy2 haija zibwa