John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Na ndo mkome kubweka ovyo kutoa sare na Brighton mmebweka kweli ...Juzi mmewapiga ngapi Brighton?
Na ndo mkome kubweka ovyo kutoa sare na Brighton mmebweka kweli ...Juzi mmewapiga ngapi Brighton?
Ndiyo nani huyo? Au unamsema aliyempa assisst Aubameyang fainali ya FA na timu moja hivi inaitwa chelsea?We humjui mchezaji wako comrade kipepe na hela yote ile kaishia kufunga goli 5 za ligi
Ana stress kupindukia , anatakiwa asaidiweWenzake tuna stress na hizo ishu lakini tunajikaza, yeye anatafuta wa kuja kusumbuana nao.
Aahh wewe acha uongo chelsea katoa suluhu kwa Brighton? Kwani Werner hajacheza?Na ndo mkome kubweka ovyo kutoa sare na Brighton mmebweka kweli ...View attachment 1560368
na hizi ni sare au hujui mech muhimu kama hiiNa ndo mkome kubweka ovyo kutoa sare na Brighton mmebweka kweli ...View attachment 1560368
Huyo aliyevaa fulana ya kijani ndiyo kaomba ajiuzulu? Au yule mwingine?
Huyo kipa mbona kapiga magoti jamani? Kwani haka katimu kalimkodi Mbamba aje kuwadakia?na hizi ni sare au hujui mech muhimu kama hiiView attachment 1560369
73+80 mmepigwaSasa nitalinganisha vipi wakati sijakuelewa. Kipepe ndiyo nini?




Na watapiga magoti sana msimu huuHuyo kipa mbona kapiga magoti jamani? Kwani haka katimu kalimkodi Mbamba aje kuwadakia?
Wewe stress zitakuua ,ndio maana ukipata bando la 500 unawahi kudanga



Uyu apaNdiyo nani huyo? Au unamsema aliyempa assisst Aubameyang fainali ya FA na timu moja hivi inaitwa chelsea?
Hatari mwanawane akikosa kombe anavyosikitika
Eti stressWewe stress zitakuua ,ndio maana ukipata bando la 500 unawahi kudanga![]()





nani ana stress au unayajua maisha yangu



Aah kumbe huyu.
Nasikia jana mmehenekwaNdiyo nani huyo? Au unamsema aliyempa assisst Aubameyang fainali ya FA na timu moja hivi inaitwa chelsea?


Mnayataka tena msi panick ngoja tuanzeHatari mwanawane akikosa kombe anavyosikitika





Hebu andika kiswahili ndugu siyo kila mtu anaelewa kilughaNasikia jana mmehenekwa![]()
Nakumbuka si mlishinda hii shilingiAah kumbe huyu.
Sasa huyu mbona siyo beki? Au hauoni ile ni hesabu ya defense? Huyu ndiye alitoa assisst ile fainali ya FA siku Arsenal inacheza na katimu kanaitwa chelsea. Uliiangalia mechi?



Hivi wewe ulikuwa unaomba kazi ulipataNakumbuka si mlishinda hii shilingiView attachment 1560378
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app