Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaha hichi kiburi mlichonacho ni kwa sababu ligi haijaanza na munaongoza. Ngoja ligi iyanze sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

#CFC [emoji170][emoji170][emoji170]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Na wachezaji hao hao wa mafungu tunachukua ndoo 2 na wewe ukabaki hauna kitu na kombe moja nikachukua mbele yako.
 
Wewe mwenyewe hapo unao mzigo kama huyo demu..

Kataa kama nakusingizia!
Hahahahaha dah hizi dharau sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Enewei ..Hii timu ni ile ile hakuna kipya msitegemee yeyote mapya kutokea msimu uu mpya.

Kushinda fainal ya FA na CS hata Wigan au QPR wanaweza kushinda.

#CFC [emoji170][emoji170][emoji170]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
[emoji2][emoji2] mwishowe umekubali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Chupi-za-buluu fc[emoji156]
 
Mh kwa hiyo unasema jinsi mlivyo wabovu hata QPR wangewatoboa. Mbona mmeoza kiasi hiki?
 
Nendeni PM hapa ni platform ya wastaarabu watu Rika Tofauti, sasa mnaleta mambo ya ajabu sana ndugu zangu


Mambo yasiyo husiana kbs na MPIRA

kama sio mstaarabu mripotini kwa MODS sio kujibizana nae kwa Ujinga kama yeye
Sawa sawa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…