Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaha hichi kiburi mlichonacho ni kwa sababu ligi haijaanza na munaongoza. Ngoja ligi iyanze sasa


#CFC


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Na wachezaji hao hao wa mafungu tunachukua ndoo 2 na wewe ukabaki hauna kitu na kombe moja nikachukua mbele yako.
 
Mh kwa hiyo unasema jinsi mlivyo wabovu hata QPR wangewatoboa. Mbona mmeoza kiasi hiki?
 
Nendeni PM hapa ni platform ya wastaarabu watu Rika Tofauti, sasa mnaleta mambo ya ajabu sana ndugu zangu


Mambo yasiyo husiana kbs na MPIRA

kama sio mstaarabu mripotini kwa MODS sio kujibizana nae kwa Ujinga kama yeye
Sawa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…