Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kabla ya game niliongelea pia kuhusu Mo. Elneny. Kuna jamaa akaja kuni-crash hapa kwa nguvu..Game ya leo. Nilisema tukipaki basi tutashinda. Tumeingia na 3 4 3 lakini tumeperform tofauti na ile game tuliyowafunga 2 kwa 1.
Arsenal tumepiga shots 13 huku 7 zikiwa on target, liva ana shots 8 on target. Kwa kikosi kilichokuepo naon tumejitahidi.
Nketiah kwa alichofanya leo bado naona atasubiri sana kwa Martnell kama asipoongeza bidii.
Hua namlalamikia Pepe kwa kushindwa kufanya cut in na kuscore (angalia Auba alivyoscore) naona na Saka naye ni walewale, yaweza kua hatuna mtu sahihi bado. Ndiyo maana msimu uliopita tulivyohusishwa na Ziyech niliona itakua transfer tamu kwetu.
Kwa uzembe wa Nketiah na Saka tumekosa nafasi 3 za kuscore kwa uhakika.
Pale katikati Elneny na Xhaka wamepasawazisha. Elneny alikua anapiga chenga, anatafuta mtu anampa pasi, anamkosa anasonga mbele, Milner akabaki kucheza rafu tu. Xhaka na Elneny ni couple mpya pale kati ambayo inadeliver vyema.
Juzi nilisema Elneny abaki, na leo nasema tena. Elneny abaki.
Goli la kusawazisha la liva ilikua komedi kidogo. Tunakaba conservatively mno, yaani wachezaji wetu kua aggressive na kuingiza mguu ni mtihani, magoli mengi tunafungwa kwa aina yetu ya ukabaji.
Game na Chelsea kwenye FA ilikua same, na leo hivyo hivyo. Kama inawezekana tubadilishe defensive style. Inakua kama FIFA 20 bwana...
Timu katikati ilibalansi. Kulikua na connection nzuri ya mid na defense kuliko mid na forward. Hata hii connection ya mid na defense sometime ilikua inakata ila it was some sight to see.
Aubameyang arudishwe kati. Hana skills za kufanya iwe rahisi kwake kucut in. Wazia angekua na skills kama za Pepe, angeweza kuscore peke yake goli mbili.
Martinez huku Leno.... hii inaitwa nianze chai au nianze mkate... Kotekote kuzuri. Hope kila mmoja atakula play time ya kutosha.
Tulifunga msimu kwa kombe. Tumefungua msimu kwa kombe. Ni poa mno. Ila tusijisahau Arteta aliomba miaka 3 ya kujenga timu, huu ndiyo wa kwanza. So performance ya leo isikufanye ukatukane watu... Hahahaha
Fala sanaSisi tunakuona unaumizwa tu,We Nyumbu Ole guna atakupa nini?
Uzizi kwa hisani ya Kumbukumbu ya Highbury unbeaten arsenal doing great job.Arteta impactView attachment 1552340
Afadhali la kuku..watuonyeshe hata la kima.....Tuonyeshe la kwenu hata la kuku
Mzee nlikusahau.Hongereni kwa ushindi, mmekuwa bora sana mechi za hivi karibuni mnapocheza na top 4.
Mzee nlikusahau.Hongereni kwa ushindi, mmekuwa bora sana mechi za hivi karibuni mnapocheza na top 4.
Dah Arteta hivi vitu anavyotuletea ilifaa kuwe na mashabiki uwanjani ila covid-19 imezingua. I feel sorry for him, he needs a bit of cheer from fans, still a work in progress but very promising!!Arteta on winning another trophy:
"It generates belief. We have a lot of things to improve, still, but to be able to compete against these sort of teams in a final like this, it makes me really proud" #Arsenal https://t.co/lJHOIcDpRzView attachment 1552351
Mzee nlikusahau.
Nakubaliana nawe nadhani timu imekuwa bora to be honest
Yes niliona comment yako, honestly hata me sikukubaliana na maoni yako but i chose to be quiet, kwa kikosi cha leo na ukizingatia mpinzani wetu alivyo it was a good test for him (Elneny) and its fair to say he did very very well.Kabla ya game niliongelea pia kuhusu Mo. Elneny. Kuna jamaa akaja kuni-crash hapa kwa nguvu..
Eti yuko slow! Sasa kama yupo slow lakini SURE kuna tatizo gani?
Halafu kumbukeni, Elneny huyu sio yule wa Unai. Ni zama za Arteta sasa.
Ukitaka kuhakikisha ninachoongea, we waangalie AMN, Mustafi na Holding walivyogain confidence baada ya kuja Arteta.
Siku zote usiongee ukamaliza, bakisha akiba ya maneno!
Ha haaa, this time hatalidondosha kwamba amezoea kuyabeba sasa, the future is just exciting.Pierre-Emerick Aubameyang on more silverware:
“It feels very good. First of all, I have to say Happy Birthday bro [Maitland-Niles]. He was the man of the match, I’m really happy for him, he deserves it. We’re going to take this trophy & this time, hopefully I don’t drop it!” [BT] View attachment 1552409
Thanks Don Clericuzio, nnacho wapendea fans wa Liver wengi ni wanamichezo hamnaga mihemko ya kiboya kama kina fulani...Hongereni kwa ushindi, mmekuwa bora sana mechi za hivi karibuni mnapocheza na top 4.
Thanks Don Clericuzio, nnacho wapendea fans wa Liver wengi ni wanamichezo hamnaga mihemko ya kiboya kama kina fulani...