Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kwa sababu binadamu tumeumbwa wasahaulifu, naomba niwakumbushe swala hiliHii timu inatofauti gani na yanga

Kwa sababu binadamu tumeumbwa wasahaulifu, naomba niwakumbushe swala hiliHii timu inatofauti gani na yanga

Bellerin sidhan kama ataondoka labda lije dau zuri , akiondoka Ananunuliwa Backupkumuuza Bellerin ni wazo zuri kweli? Tena yeye na Maitland-Niles? Cedric peke yake atatosha kweli? Au Mertesacher ana madini kule academy anataka kuwapandisha first team?
Sokratis is a target for Napoli
Holding to Leeds developments expected once they give up on Ben White
Chambers wanted by Fulham amongst others
Mustafi enquiries from 3 clubs
Maitland-Niles close to Wolves
Kwa akili yako ndogo ya kukuwezesha kukwepa bodaboda ukivuka Barabara wako sawa tu...Hii timu inatofauti gani na yanga
Hili trekta liondoke tu kwa sasa anawakati mgumu pale arsenalSky Sport News:
Sead Kolasinac could leave Arsenal this summer
Huyu janki kama pesa itakuja tuchukue tu aisee tuitengeze arsenal mpya kwanza pancha nyingi sana siku hizi.Bellerin sidhan kama ataondoka labda lije dau zuri , akiondoka Ananunuliwa Backup
Ila sion Bellerin akiuzwa japo inasemwa sana
Binafsi ningependa tubaki nae msimu huu anamsaada kwenye zile tough games na kwenye baadhi ya mifumo na lazima tukumbuke pia tunamashindano mengi sana kwenye msimu lazima tuwe na kikosi kipana.Hili trekta liondoke tu kwa sasa anawakati mgumu pale arsenal
Now, @SPORT1 are reporting that Schalke want Kolasinač back, and that negotiations are underway!