Arsenal (The Gunners) | Special Thread

@Will jr

Ivi tatizo lipo kwa atheltico Madrid au partey? Maana week ya nne hii
Subiri kuanzia kesho utasikia tupo wapi ,

Partey nadhan tunasubiri tuuze kwanza ,huyu ni usajiri wa mwisho kabisa ,

Maana ni kwenda kutrigger release clause tu

Personal term already agreed

Tegemea kwanza waondoke Guendouz na Toreira

Ujio wa Gabriel , tegemea Sokratis kusepa muda wowote
 
Arteta to reshuffle his backroom staff kuanzia wiki ya kesho.

Kuna mtu kutoka Brentford anakuja pale na wengine pia.

Kuanzia saa nne usiku Leo tutapata news news news
 
Kijana anajitahidi. Ni vizuri apate backroom staff atakaoweza kufanya nao kazi vizuri. Ila swala la usajili nimejifunza kutokuamini tetesi yoyote ile. Kama Gabriel na Partey ni mpaka niwaone Arsenal.com wanapiga danadana ile pale Colney ndiyo nitaamini.
 
After Gabriel Magalhaes nadhani sasa Edu na Kina Hussy Fahmy wanageukia eneo la Midfield Partey na Aouar ndio first priority Pamoja na kumrejesha Ceballos kwa mkopo Arsenal tuna jambo letu 2020 /2021
 
Sasa hivi sajiri nyingi zitakuwa wahispania n wabrazil View attachment 1545416
Kwa kuwa Artera na Edu wanatokea huko na inaonekana kana kwamba wahispania na wabrazili ni ngangali mno au wakakamavu mno tupo nyuma yao haya ni maoni yangu wenye chuki na chama mjinyonge!!
Acha tujenge timu!!
Always London is Red na makombe ndiyo tumeanza kufungua na FA mengineo yanakuja!!
Yajao yanafurahisha!! Chini ya mamwamba Arteta na Edu!!
 
Mustafi yupo sokoni
 
Dah sawa.
 
...mpaka niwaone wanapiga danadana...

This got me
 
Si unajua transfer madness (silly season) inavyokuwa England? utakuwa linked na wachezaji zaidi ya 10 usisajili hata mmoja 😄😄
 
Fabrizio Romano anaaminika katika hii sekta
 

Attachments

  • Screenshot_20200823-123606.png
    384.3 KB · Views: 8
Uyo ndo mastermind wa arteta ..ngoja uone atakavyovuruga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…